Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,818
- 4,569
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake imeibuka Mabingwa wa COSAFA kwa ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Malawi katika michuano ya COSAFA ya wanawake iliyokuwa inaendelea Afrika Kusini, goli la Tanzania lilifungwa na Enekia dakika ya 64.
Mechi hiyo ilipigqwa katika dimba la Nelson Mandela huko Afrika Kusini
Nahodha wa Twiga Stars, Amina Billal ametangazwa kuwa mchezaji bora wa michuano hiyo