Mtade_Halisi
Member
- Feb 23, 2008
- 28
- 0
Timu soka ya Taifa ya wanawake a.k.a Twiga stars jioni hii imelala 3-0 mbele ya wadada wa cameroon.hadi Kipindi cha kwanza Cameroon walikuwa wanaongoza kwa bao 1-0. Mabao mengine mawili yalipatikana kipindi cha pili hivyo kuiweka Twiga stars katika wakati mgumu kufuzu mashindano ya Africa.Twiga stars wanahitaji ushindi wa mabao 4-0 ili kuweza kufuzu watakapopambana na wacameroon hao kule Younde kwenye ngwe ya marudiano. Pata picha toka taifa kwa mujibu wa Michuzi blog...