Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,165
Hivi kwa nini watu wanaoshinda nyumbani kila siku hujiona wao wana haki ya kuangalia vipindi watakavyo kwenye Tv na kusikiliza wapendacho redioni?
ukitoka kazini ukataka kubadili wanakuona 'Intruder' sijui kwa nini hawakumbuki wao kuwnzia asubuhi walikuwa wapo.
duh, mie hushangaa kwa kweli!
ukitoka kazini ukataka kubadili wanakuona 'Intruder' sijui kwa nini hawakumbuki wao kuwnzia asubuhi walikuwa wapo.
duh, mie hushangaa kwa kweli!