Tv & radio Imaan: Masheikh ndio walihusika zaidi na ukombozi wa nchi hii!

Status
Not open for further replies.
Hivi Nyerere naye alikuwa ni msomi?.....Kivyovyote vile hakuna ikhtilaafu kuhusu uwezo wa Nyerere kuongoza nchi! uwezo wake ulikuwa zero na nchi ilimshinda.
Mtake msitake historia sahihi ya Tanzania itaandikwa upya na Nyerere atakwenda kwenye vitabu vya Historia kama mbabaishaji flani tu.
Hapana. Nyerere hakuwa msomi. Umeshamhukumu kama mbabaishaji flani atakuwaje msomi? Tunawasubiri wasomi mashehe waandike upya historia "sahihi" ya Tanzania. Mohamed Said kajitahidi lakini naona bado hajalifikia lengo lenu.
 
Kama walikuwepo na walikuwa na elimu iweje wao wasiwe viongozi!
Waache kudanganya wa Tanzania,
waambie waendelee na elmu jini yao ndo waliyosomea ndo maana hawakuwa viongozi!
Iweje wao kama walikuwa wamesoma wakubali Nyerere awe kiongozi wao?
Jibu ni hili

hawakuwa na elimu dunia bali elmu jini!

ondoa utumbo wako huu au na wewe ni miongoni mwa jamii ya wale walioandika bongo flavour ndani ya kijitabu cha kujibia katika mtihani wa kidato cha nne! sio lazma sote tuwe wachezaji hata kushangilia kwa kugonga like tu iwapo mada imekukuna inatosha kama kiwango chako kidogo
 
Naongea kutoka moyoni, sifurahishwi na vipindi vya TV Imaan. Hakuna hata kimoja chenye kujenga zaidi ni kupandikiza mbegu za chuki kwa watanzania. Wameongoza kupinga sensa ya taifa, waliongoza chokochoko zakutaka CEO wa baraza la mitihani afukuzwe, wanataka serikali ilipie gharama za mahakama ya Kadhi. Ni;ifurahi nilipoona viongozi wa Bakwata walipotoa tamko lao jana na kusema msemaji wa waislamu ni Bakwata. Sijajua serikali iko wapi kufungia chombo kama hiki kinachopandikiza mbegu za chuki ktk jamii wa Tanzania.
 
Kumkashifu Nyerere kwa ujinga wenu ni bure tu kwani nyinyi mliwakubali wakoloni wakiarabu ambao waliwajaza ujinga wao wakutokusoma badala yake mkakaririshwa elimu akhera!. Msimlalamikie Nyerere bali wakoloni wenu wasiopenda elimu dunia bali elimu jini!. Wakoloni wa kizungu walikuwa wanapenda elimu!
 
Inachekesha leo wanasoma vitabu vya wazungu, hawasomi vitabu vya waarabu, leo wazungu wamekuwa waelimishaji kwenye redio imani, na wanawajua wasikilizaji wao kuwa ni mareceiver 2 hawawezi kufikiri wala kujiuliza na tena hawana wanachojua ndo kwanza wanasikia na wanasema ni kweli, ukweli upi ktk jambo usilolijua, wajinga ndo waliwao, vile vitabu viliandikwa na wazungu amabao hawakutaka Tanganyika ipate uhuru na kwa makusudi walimchafua Mwalimu Nyerere asiaminike kwa Watanganyika, sasa hawa wenzetu hawalijui hilo wanadanganyana
 
Hivi Nyerere naye alikuwa ni msomi?.....Kivyovyote vile hakuna ikhtilaafu kuhusu uwezo wa Nyerere kuongoza nchi! uwezo wake ulikuwa zero na nchi ilimshinda.
Mtake msitake historia sahihi ya Tanzania itaandikwa upya na Nyerere atakwenda kwenye vitabu vya Historia kama mbabaishaji flani tu.

Angetaka angekufa akiitwa DR maana alipata heshima hiyo tangu miaka ya 50 alipo graduate Edinburgh. Kama huo si usomi basi sijui maana ya neno usomi!

Historia hiyo unayoitaka wewe na wenzako iandikeni ila mtaisomea misikitini!
 
st. nyerere amefumuliwa aibu zake

wanazi wake wana haha. poleni..truce exposed..
 
Honestly, nimesikiliza kwa zaidi ya saa 1 lakini hamna kitu concrete. Wanaulizana mbinu gani mtatumia kuwakabili masheikh dili naona wanabwabwaja tu. Halafu swali la msingi, nani amewachagua hawa kuwasemea waislamu?
 
siku moja niliisikiliza hiiredio kidogo nizirai aisee wana jamvi
Shekh mmoja alikuwa anasema eti anashangaa muislamu mzima unashabikia ligi zasoka za ulaya wakati asilimia 95 ya wachezaji sio waislam ni wakristo,
Akaenda mbali zaidi akasema eti utakuta Saudi Arabia inacheza na Brazil unakuta muislamanashabikia Brazili wakati Brazili yote ni wakristo, aka hoji utamshabikia vipikafiri uache kushabikia muislamu mwenzio kwa mujibu wa maamrisho ya Allah

Hapo ndipo niliamini kweli elimu dunia ni muhimu isee, kuna matatizo makubwakuwa na elimu ya kukariri koran na hadith tu bila elimu dunia

 
Maaskofu? Walikuwa wangapi waAfrika?

Ndugu yangu wee, ujinga hauna dawa! Unadhani wanajua hata maana ya askofu basi? Hakuna muislamu hata mmoja anaeshughulisha ubongo wake anaeweza kusikiliza utumbo unaotangazwa kwenye hiyo source waliyoitaja hapa. Ila mbumbumbu mzungu wa reli wakidanganywa hata ku-cross check habari ili wajithibitishie hakuna!

Kazi ipo!
 
tv imaan na radio yake ni tv bora afrika mashariki tatizo la wanaozichukia wanafanya hivyo kwa kua hawasiki midundo katika vyombo hivyo! big up tv imaan na radio yake kwa kutoa elimu bila mipaka wenye akili zenye kuchambua mambo bila ya kushabikia ufuasi na kuacha kuangalia uhalisia wanajua ipi pumba na yapi makapikapi hata kama wapo tofauti katika mitazamo ya kiimani
 
Kumkashifu Nyerere kwa ujinga wenu ni bure tu kwani nyinyi mliwakubali wakoloni wakiarabu ambao waliwajaza ujinga wao wakutokusoma badala yake mkakaririshwa elimu akhera!. Msimlalamikie Nyerere i wakoloni wenu wasiopenda elimu dunia bali elimu jini!. Wakoloni wa kizungu walikuwa wanapenda elimu!
Ilikuwaje akawafufukuza EAMWS wakati walipotaka kufungua Uni? ilikuwaje waziri Tewa Said aondoshwe kwa ajili tu alikuwa yuko mbioni kuhakikisha kuwa Uni inajengwa pale Changombe?
Nyerere alikuwa akiheshimiwa sana Ulaya hasahasa katika nhi za Scandinavia lakini baada ya historia sahihi kuanza kutoka karibu wote wamemtoa maana.
Nikitoa mfano mmoja :nilishawahi kuingia ofisi moja ya mwanamke Mscandinavia akiwa na picha ya Nyerere ofisini kwake, Nyerere kwake yeye alikuwa ni shujaa a typical socialist, baada ya miaka kadhaa huyu mama mtoto wake alisilimu hivyo ilikuwa rahisi kwangu kuingia kwao, mama huyuhuyu alikuja kuniambia kuwa amebadilisha mawazo yake sana kuhusu Nyerere baada ya kusoma vitabu fulani kumhusu yeye.......hii ndio hali yenyewe!
Usishangae kuona kuwa hajawahi kushinda Noble Award.
 
Honestly, nimesikiliza kwa zaidi ya saa 1 lakini hamna kitu concrete. Wanaulizana mbinu gani mtatumia kuwakabili masheikh dili naona wanabwabwaja tu. Halafu swali la msingi, nani amewachagua hawa kuwasemea waislamu?

Nani amekuchagua wewe kuwaulizia Waislaam !?
 
Radio Uchochezi bwana! Kila siku ni lazima wajitahidi kuwagawa watanzania kwa misingi ya udini, ikiwa ni pamoja na kuwachochea waislamu kwamba wamepunjwa, wameonewa, wao ndio waliopigania uhuru wa nchi hii na wengine wote walikuwa wamelala, Kwamba wakriso ni maadui, kwamba Tanzania imetawaliwa na mfumo Kristo, ooh Shule za kiislamu zinafelishwa, ooh waislamu tupo wengi sana Tanzania ( nafikiri wanaamini kuwa wao ni 99.9% ya watanzania wote), ooh tuanzishe jihadi dhidi ya wakristo, na bado mengi yanakuja. Lakini wasifikiri wakianzisha Jihadi wengine tutakunja mikono, Itakuwa ni jicho kwa jicho na jino kwa jino. Tuone kama hata wao watafurahia kukaa kwenye nchi ambayo haina amani kiasi kwamba wanashindwa kulala kwa raha.
 
Ilikuwaje akawafufukuza EAMWS wakati walipotaka kufungua Uni? ilikuwaje waziri Tewa Said aondoshwe kwa ajili tu alikuwa yuko mbioni kuhakikisha kuwa Uni inajengwa pale Changombe?
Nyerere alikuwa akiheshimiwa sana Ulaya hasahasa katika nhi za Scandinavia lakini baada ya historia sahihi kuanza kutoka karibu wote wamemtoa maana.
Nikitoa mfano mmoja :nilishawahi kuingia ofisi moja ya mwanamke Mscandinavia akiwa na picha ya Nyerere ofisini kwake, Nyerere kwake yeye alikuwa ni shujaa a typical socialist, baada ya miaka kadhaa huyu mama mtoto wake alisilimu hivyo ilikuwa rahisi kwangu kuingia kwao, mama huyuhuyu alikuja kuniambia kuwa amebadilisha mawazo yake sana kuhusu Nyerere baada ya kusoma vitabu fulani kumhusu yeye.......hii ndio hali yenyewe!
Usishangae kuona kuwa hajawahi kushinda Noble Award.

Nenda madrasa ukawaongopee, huko utasikilizwa. Kuna raia wa Scandinavia au mtu anaitwa Mscandinavia dunia hii?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom