Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,517
- 113,651
Wanabodi,
Moja ya shughuli zangu kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, ni kuandaa vipindi mbalimbali vya TV, Redio na Makala mbali mbali magazetini. Hivyo kwa muda wa siku 5 mfulilizo kuanzia leo, nitarusha vipindi maalum kuhusu maonyesho ya sekta ya fedha yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.
Kwa kuanzia kipindi cha kwanza kitarushwa hewani leo kuanzia saa 1:00-7:30 ITV.
Lengo la vipindi hivi ni kuelimishana fursa mbali mbali zinazotolewa na taasisi mbalimbali za fedha nchini, katika kuleta maendeleo binafsi na maendeleo ya Taifa, na kwa kuanzia,
Kwa hayo na mengine mengi, fuatana nami katika mfufulizo wa vipindi hivi kwa siku tano mfululilizo. Vipindi hivi vitarushwa na ITV, TBC-Taifa, Star TV, Channel Ten na TVZ.
Asanteni.
Pascal.
Moja ya shughuli zangu kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, ni kuandaa vipindi mbalimbali vya TV, Redio na Makala mbali mbali magazetini. Hivyo kwa muda wa siku 5 mfulilizo kuanzia leo, nitarusha vipindi maalum kuhusu maonyesho ya sekta ya fedha yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.
Kwa kuanzia kipindi cha kwanza kitarushwa hewani leo kuanzia saa 1:00-7:30 ITV.
Lengo la vipindi hivi ni kuelimishana fursa mbali mbali zinazotolewa na taasisi mbalimbali za fedha nchini, katika kuleta maendeleo binafsi na maendeleo ya Taifa, na kwa kuanzia,
- Watanzania ni watu wa ajabu sana!. Wanajenga nyumba na kununua magari bila kukopa!.
- Wananunua vitu vya thamani kubwa bila any definite source of income na bila mikopo!.
- Mabenki yana mabilioni ya fedha za amana ambayo yanawahitaji watu wayakope ili zilete maendeleo!. Watu hawakopi!.
- Jee wajua kuna mabenki yanatoa pesonal loan ya hadi shilingi milioni 500?.
- Je mwajua kuna mabenki yanatoa mikopo ya biashara bila dhamana yoyote?.
Kwa hayo na mengine mengi, fuatana nami katika mfufulizo wa vipindi hivi kwa siku tano mfululilizo. Vipindi hivi vitarushwa na ITV, TBC-Taifa, Star TV, Channel Ten na TVZ.
Asanteni.
Pascal.