Daah spana hizii hatariiiMzee kwa bei hiyo au hata nusu yake Huwezi kuuza hapa JF, labda uzunguke nayo mitaani hukohuko MBEYA hususani vijijini unaweza kumpata mteja asiyejua TV.
Limekaa kama yale makompyuta ya kizamaniiiiiii.,ma huo ufito wote wa kioo uuze laki 7?? labda laki 3
Mbona hizi picha ni kama zinaonesha hiyo TV ipo nchi za nje...
eti mbeya vijijiniMzee kwa bei hiyo au hata nusu yake Huwezi kuuza hapa JF, labda uzunguke nayo mitaani hukohuko MBEYA hususani vijijini unaweza kumpata mteja asiyejua TV.
Noma wajumbe wanapiga spana Sana,nadhani bado Wana majonzi
Mkuu hii ni LCD sio LEDused Panasonic Viera (model no. TX-P50G10B) inch 50” 1080p HD Plasma for sale,
Tv Haina tatizo lolote, Ni Hali ngumu tu.
Bei; Laki Saba tu + risiti,
Location; Mbeya
Call; 0768540772,njoo na fundi ukague na kubebaaa