Tuweke ushabiki pembeni: Hatua ya Robo Fainali ni ngumu kuliko tunavyopiga hesabu za vidole na kujifariji

Anadhani ni zile timu famba famba zilizokuwa kwenye kundi lao, siku zote timu yenye ulinzi imara itakupa makombe na timu yenye washambuliaji imara watakufanya ushinde mechi, Petro atretico wako vizuri sana kwenye backline yao wakikupigia kimoja ndio bye bye imeisha iyo!
Hata kundi la Yanga ni famba
 
Nimepita kwenye vijiwe nongwa vya mtaani nakusikiliza mashabiki wa kariakoo (sunche na kapeto) wanavyopiga hesabu za kutoboa robo mpaka fainali Tena hesabu nyepesi kabisa utadhani robo Kuna Namungo, Azam au Mashujaa.

Twende kwenye matazamio ya kiuchambuzi tuchambue timu zitakazokutana na mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)

Hizi ndiyo zinazoweza kukutana nazo baada ya draw ya Robo kufunguliwa.

Simba

1. Al Ahly
2. Mamelody Sundowns
3. Petro Atletico de Luanda

Yanga
1. Asec Mimosas
2. Mamelody Sundown
3. Petro Atletico de Luanda

Al ahly na Mamelody Hawa wanafahamika uwezo wao tuwaweke pembeni kwanza.

Tumuongelee Petro de Luanda na Asec Mimosa Hawa nao new comer baada ya wydad na Raja Casablanca kukaa NJEE.

*Petro de Luanda hii timu ilitinga Robo kwa kishindo kikubwa na ndiyo timu ambayo haijafungwa/haijaruhusu bao katika mechi 6 Petro de Luanda ametoka na clean sheets 6.
Tunapowaongelea Hawa Petro de Luanda ni timu iliyo Moto kabisa katika msimu huu kwa hiyo Hawa mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Mashabiki wasibeze na kuzani wanaenda kukutana na mteremko (kitonga)

*Asec Mimosa niliwatazama Asec Mimosa kocha wao anacheza kimkakati hii timu ndiyo inaweza kuwa neema endapo wataheshimiwa na Kama Yanga watakutana nao lolote linaweza kutokea maana hata Asec siyo wanyonge kabisa.

Imeandikwa na NALIA NGWENA
Tuendelee kuziombea timu zetu zipige hatua na taifa letu liheshimike katika nyanja za michezo.
Mshamba mkubwa hiyo avatar kma ni yako unafaa kuishi kuzimu post zako ni kati ya post mbaya nakutana nazo jf aiseee
 
AMKA KUTOKA USINGIZINI MKUU
Screenshot_20240303-215046.jpg
 
Ile wamepost CAF wenyewe achana na hizo za mashabiki wa Yanga
REJEA HISTORIA HUKO NYUMA MBONA IKO WAZI MZEE.

CAF WALIPOST KUWA SIMBA HAIJAWAI KUCHEZA FAINALI MBONA WAZEE WA KUFUKUA WALIFUKUA MAKABULI
 
Na ndiyo maana nilisema kuwa kidogo Asec tunaweza kukomaa nae lakini hao wengine tunajipa matumaini tu.
Wote wanafungika tu! Kama Mamelodi sundowns mwenyewe na mipunga yake alitolewa jasho na TP Mazembe kule Congo kwa nini asifungwe? Timu zote zilizopo robo ni maji marefu!
 
Back
Top Bottom