sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Wamasai wameishi Ngorongoro maelfu ya miaka, wameondoshwa ili wapishe wageni, Mwaka 2100 Mmasai akirudi Ngorongoro wageni wana haki ya kumuita mmassai ni mvamizi?
ndivyo ilivyo nao waisrael walivamiwa wakahamishiwa ulaya kimabavu, Ardhi ya Israel wakahamia wapalestina lakini baada ya miaka kupita waisrael wakarudi nyumbani kwao ila cha ajabu wapalestina wakawa wabishi kwamba Israel ni nchi yao, wanatoa wapi jeuri hii?
Huwa naona Wapalestina wengine wanatumia hati za viwanja walivyouziwa kipindi waisrael wamehamishwa kimabavu kwenda ulaya,
Ni sawa na wamasai wakirudi Ngorngoro mwaka 2100 kisha wageni hawa waliopewa Ngorongoro waanze kupinga kwa kuonyesha hati walizopewa na serikali iliyowatoa wamasai kinguvu Ngorongoro.
ndivyo ilivyo nao waisrael walivamiwa wakahamishiwa ulaya kimabavu, Ardhi ya Israel wakahamia wapalestina lakini baada ya miaka kupita waisrael wakarudi nyumbani kwao ila cha ajabu wapalestina wakawa wabishi kwamba Israel ni nchi yao, wanatoa wapi jeuri hii?
Huwa naona Wapalestina wengine wanatumia hati za viwanja walivyouziwa kipindi waisrael wamehamishwa kimabavu kwenda ulaya,
Ni sawa na wamasai wakirudi Ngorngoro mwaka 2100 kisha wageni hawa waliopewa Ngorongoro waanze kupinga kwa kuonyesha hati walizopewa na serikali iliyowatoa wamasai kinguvu Ngorongoro.