Tuwe wawazi: Hivi chai na kahawa unapendelea kunywa nini?

Wrevta

JF-Expert Member
Jan 18, 2023
1,440
1,720
Naona ni usiku ila lengo langu la kuleta uzi naomba niliweke wazi. Wengi tunapenda kunywa maji ya moto asubuhi ama jioni, ili kupasha tumbo kabla ya chakula kigumu.

Wengi machaguo yetu huangukia kwenye maziwa, chai na kahawa. Sasa naomba kujua, wewe binafsi chaguo lako ni kahawa au chai?

Na kwa nini?
 
Naona ni usiku ila lengo langu la kuleta uzi naomba niliweke wazi. Wengi tunapenda kunywa maji ya moto asubuhi ama jioni, ili kupasha tumbo kabla ya chakula kigumu.

Wengi machaguo yetu huangukia kwenye maziwa, chai na kahawa. Sasa naomba kujua, wewe binafsi chaguo lako ni kahawa au chai?

Na kwa nini?
Chai, sababu kahawa chungu
 
either mix with powdered milk nanmda mwingine napikia maziwa. Huu ni ugonjwa wangu mkubwa milk
Me too. Napenda chai ila iwe KAHAWA. Inaleta nguvu mno hasa ikichanganywa na maziwa. Hii mimajani ya chai si mizuri sana ukiacha yale majani ya black tea
 
Back
Top Bottom