Tuwe makini usalama sasa haupo

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,398
319
Maji yameingia mdudu.....heri kuchimba kisima chako mwenyewe....ili uyafaidi yaliyo salama kwa afya yako na kuepuka kuishi kwa matumani, chupa kubwa na ndogo zote ni hatari....mengine hupatikana bure....uyatumie uanze kuishi kwa matumaini na baadae ili ufe, yapo yanayopitishwa mitaani ukiomba tu wapewa, na dawa ya mdudu haijapatikana, na mengine chupa safi kama vile ni salama,
........,.......kuwa makini ewe mwenye kiu,,,,,,,!!!!! usije ukaangamia.
 
Eleza ni maji yapi yameathiriwa kwani unaweka siri ili iweje?? Unasema kuchimba kisima usifikiri maji ya kisima ni kuchimba tu, lazima yapimwe mengine hayanyweki kwa sababu ni saline water hasa maeneno ya Dar.
 
Maji yameingia mdudu.....heri kuchimba kisima chako mwenyewe....ili uyafaidi yaliyo salama kwa afya yako na kuepuka kuishi kwa matumani, chupa kubwa na ndogo zote ni hatari....mengine hupatikana bure....uyatumie uanze kuishi kwa matumaini na baadae ili ufe, yapo yanayopitishwa mitaani ukiomba tu wapewa, na dawa ya mdudu haijapatikana, na mengine chupa safi kama vile ni salama,
........,.......kuwa makini ewe mwenye kiu,,,,,,,!!!!! usije ukaangamia.
I hope huongelei maji weye ;)
 
Eleza ni maji yapi yameathiriwa kwani unaweka siri ili iweje?? Unasema kuchimba kisima usifikiri maji ya kisima ni kuchimba tu, lazima yapimwe mengine hayanyweki kwa sababu ni saline water hasa maeneno ya Dar.
hakuna mzazi kamfundisha mwanae mambo ya duniani, naona umezoea kurahishiwa, harafu inaonesha wakurupuka tu bila kusumbua akili juu ya nini kimenwa, jifunze kuhangaisha kichwa, kwani hapo umambiwa nini? kwa usalama wako swala ni kujitengenezea mmaji salama (na kitu kikiishaitwa salama maana yake kina sifa zinazohitajika) wa wapi wewe heee!!!! rudi shule kajifunze nahau na misemo,
 
Ila shida kubwa ni kuwa huwezi kuvumilia kiu, ni lazima maji uyanywe ila jitahidi kuweka chujio mdudu asipenye. hatari kweli kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom