Tuwatambue wazalendo wa Tanganyika

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.

Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.

Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.

Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.

Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
 
Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.

Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.

Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.

Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.

Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
13. Mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.

Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.

Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.

Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.

Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
We nenda katibiwe maana siyo kwa wehu huo
 
Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.

Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.

Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.

Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.

Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
Nipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.

Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.

Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.

Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.

Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
15. Makojo
 
MKWEAMINAZI

Ni wazi kuwa huyu naye ni miongoni mwa wakereketwa wa Tanganyika. Ni member mwenzetu wa humu JF. Ameshatoa zaidi ya uzi mmoja wenye mrengo wa kuitetea Tanganyika. Ni wazi kuwa yeye naye ni Mtanganyika Mzalendo.
 
Ingawa Tanganyika bado haijarejerejeshewa hadhi yake stahiki, lakini hatua iliyofikiwa inatia moyo. Muda si mrefu, bendera ya Tanganyika itaanza kupepea. Tanganyika haitakufa tena.

Lakini mpaka kufikia hatua hii, kuna Watanganyika waliosimama kidete kukataa Tanganyika kuzikwa. Ingawa baadhi yao hatupo nao tena katika ulimwengu huu, lakini michango yao imeendelea kusimama imara ikiipigania Tanganyika.

Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kutambua Wazalendo halisi wa Tanganyika walio hai na hata waliokwishatoka katika ulimwengu huu.

Nitawataja wachache kwa sasa, na nitaendelea kuwataja na hata kuwaelezea , ikiwezekana.

Kwa kuanza, hawa ni baadhi yao:
1. Njelu Kasaka
2. Philip Marmo
3. Freeman Mbowe
4. Mch. Christopher Mtikila
5. Mshana Jr
6. Joseph Sinde Warioba.
7. Jaji Kisanga
8. Ahmed A. Mpakani
9. Jenerali Ulimwengu
10. Tundu A. Lissu
11. Askofu Zakaria Kakobe
12. Said Abdallah Nakuwa
Mkishalianzisha hilo baadae mtagawanyika,Kilimanjaro itadai ilikuwa na se
rekali mpaka mwaka 1956,ilipoporwa,na wengine na wengine watafuata upuuzi huu..
Dhana ya utanganyika ni dhambi kubwa kabisa!
 
Mkishalianzisha hilo baadae mtagawanyika,Kilimanjaro itadai ilikuwa na se
rekali mpaka mwaka 1956,ilipoporwa,na wengine na wengine watafuata upuuzi huu..
Dhana ya utanganyika ni dhambi kubwa kabisa!
Kamwe hatutaigawa vipande vipande nchi yetu ya Tanganyika. Tukiona itatufaa, tunaweza tukaamua kuanzisha mfumo wa utawala wa kimajimbo, lakini siyo kuigawa nchi yetu nzuri Tanganyika. Tanganyika ni nchi moja na itasalia nchi moja siku zote.

Long live Tanganyika, the blessed Country!
 
Back
Top Bottom