Siku hizi imekuwa kawaida watoto kuitwa majina kigeni kama Joyce, Jocktan, Mary,John,Abdallah,Mohammed, Yusuphu huku tukiacha majina yetu ya asili yaliyotumiwa na wazazi wetu, haiwezekani nimetembelea shule nyingi unakuta mtoto anatumia majina yote ya kigeni mfano Michael John, Joseph tunaacha majina ya asili yetu yanapotea huku tukiendelea kutukuza majina ya kizungu.
Hakikisha mtoto anatumia jina la asili la ukoo wako kwa kufanya hivyo tutazidi kudumisha majina ya kiafrika yanayopotea kwa kasi vile vile tuhakikishe watoto wetu wanafahamu lugha za asili kama Kikurya, Kisukuma, Kinyakyusa, Kinyamwezi sio mtoto anakuwa mpaka anafika mkubwa hata hajui lugha yake ya asili pelekeni watoto wakakae na bibi zao hasa nyakati za likizo wakajifunze lugha na ni vizuri kuwapeleka wakiwa wadogo zaidi maana itakuwa rahisi kushika lugha.
Hakikisha mtoto anatumia jina la asili la ukoo wako kwa kufanya hivyo tutazidi kudumisha majina ya kiafrika yanayopotea kwa kasi vile vile tuhakikishe watoto wetu wanafahamu lugha za asili kama Kikurya, Kisukuma, Kinyakyusa, Kinyamwezi sio mtoto anakuwa mpaka anafika mkubwa hata hajui lugha yake ya asili pelekeni watoto wakakae na bibi zao hasa nyakati za likizo wakajifunze lugha na ni vizuri kuwapeleka wakiwa wadogo zaidi maana itakuwa rahisi kushika lugha.