Tususie maonesho ya wa Syria Diamond Jubilee!

Hivi kweli watu mnaona watu wanakufa na hawachoki na kweli mnaamini ni "nchi za Magharibi" ndio zinawafanya wajitokeze kila siku kuuawa? Ni kweli mnaamini wale waliokuwa wanaandamana Tahrir square walifanya hivyo kwa sababu nchi za "magharibi" zinataka hivyo? Kweli kabisa mnaamnini yule aliyejitia moto kule Tunisia alifanya vile kwa sababu Marekani "ilikuwa inamuunga mkono"? Mnaamini maandamano yanayoendelea huko Bahrain yanatokana na nchi za magharibi? Inawezekana kabisa wenzetu mnaamini wale waliokuwa wanaandamana kule Yemen kutaka Ali Saleh ang'oke walifanya hivyo kwa sababu Washington DC na London walikuwa wanataka ang'oke?

Jamani, tuwe wa kweli - mwanadamu ana kikomo chake cha kuvumilia haijalishi yuko wapi. Tuliyaona haya Georgia, tuliyaona haya Kiev, tumeyaona haya Beijing, tumeyaona haya hata London na DC kwenyewe! Yametokea haya Mississippi na yametokea Detroit. Tumeyaona Shaperville na yakajirudia Soweto! Tumeona haya mambo Arusha na tumeyaona Nyamongo; tumeyaona haya Mwembechai kama tulivyoyaona Pemba. Msije kufikiria kuwa hayawezi kutokea Temeke, Sinza, Kirumba, Magomeni, Mabatini, au kwenye mji wowote. Wananchi wana kikomo chake hawahitaji Mmarekani kuwaambia kuwa wanaishi katika maisha ya kukandamizwa?

Hivi ni nani kati yetu anaweza kuishi katika hali ya hatari ya kudumu - unazaliwa unakuta hali ya hatari na unakufa bado hali ya hattari ipo?
 
hivi kweli watu mnaona watu wanakufa na hawachoki na kweli mnaamini ni "nchi za magharibi" ndio zinawafanya wajitokeze kila siku kuuawa? Ni kweli mnaamini wale waliokuwa wanaandamana tahrir square walifanya hivyo kwa sababu nchi za "magharibi" zinataka hivyo? Kweli kabisa mnaamnini yule aliyejitia moto kule tunisia alifanya vile kwa sababu marekani "ilikuwa inamuunga mkono"? Mnaamini maandamano yanayoendelea huko bahrain yanatokana na nchi za magharibi? Inawezekana kabisa wenzetu mnaamini wale waliokuwa wanaandamana kule yemen kutaka ali saleh ang'oke walifanya hivyo kwa sababu washington dc na london walikuwa wanataka ang'oke?

Jamani, tuwe wa kweli - mwanadamu ana kikomo chake cha kuvumilia haijalishi yuko wapi. Tuliyaona haya georgia, tuliyaona haya kiev, tumeyaona haya beijing, tumeyaona haya hata london na dc kwenyewe! Yametokea haya mississippi na yametokea detroit. Tumeyaona shaperville na yakajirudia soweto! Tumeona haya mambo arusha na tumeyaona nyamongo; tumeyaona haya mwembechai kama tulivyoyaona pemba. Msije kufikiria kuwa hayawezi kutokea temeke, sinza, kirumba, magomeni, mabatini, au kwenye mji wowote. Wananchi wana kikomo chake hawahitaji mmarekani kuwaambia kuwa wanaishi katika maisha ya kukandamizwa?

Hivi ni nani kati yetu anaweza kuishi katika hali ya hatari ya kudumu - unazaliwa unakuta hali ya hatari na unakufa bado hali ya hattari ipo?

syria watu wengi wanauliwa na waasi wakisaidiwa na alqaeda, waasi hao wanapewa silaha na nchi za magharibi, na wanakuwa encouraged kukataa reform zozote zinazoletwa na serikali ya syria, na pia hawataki kukaa chini kuzungumza na serikali, wao wanachotaka ni bashar assad aondoke madarakani!

Ishu ya tunisia na egypt ni tofauti na libya na syria, wakati wa tunisia na egypt ni mass movement ya majority, lakini ya libya na syria ni movement ya watu lakini siyo majority ambayo iko under external orchestrated campaign yenye lengo la regime change.

Egypt na tunisia ilikuwa si armed struggle, wakati ile ya libya na tunisia ni armed struggle, kwa hiyo they have to be dealt with militarily, na i hope western countries na stooges wao wataiacha syria isolve ishu zake yenyewe kwa kufuata sheria za nchi hiyo!.

Ishu ya occupy dc, ni tofauti, laiti movement ya ows ikianza kuchukua silaha na kuwaua wanajeshi wa marekani i bet unajua watakuwa dealt namna gani! Na sidhani wakati huo kuna mtanzania atashika mabango kuandamana kuishinikiza serikali ya marekani isitimize majukumu yake!
 
Blackbold: Kwa style ipi, ukiwa ndani ya mipaka ya Syria (on ground) au kwa kusikiliza, kutazama, kusoma kupitia vyombo vya habari za 'unazi' wa Ulaya Magharibi ?

Nijuavyo mimi kitendo cha ulaya magharibi na Arab League kuunga mkono uhasi wa raia waliorubuniwa kuhasi kwa shinikizo la nchi hizo hizo za Magharibi ili kumpindua Al Asaad, ni kuingilia uhuru wa nchi na kuvuruga misimamo ya nchi zinazotaka kuratibu mambo yake ya kuwaletea raia wake maendeleo ya maana.

Nikirudi kwako, kususia maonyesho yaliyoandaliwa na Taifa huru la Syria, ni sawa na kuunga mkono "UNAZI" wa nchi za magharibi.

Pole sana.
Destabilisation ya nchi za kiarabu is not an accident, its by design.
Inasikitisha kuona kuwa watu wanakuwa vipofu kuona ukweli wa mambo yanavojionyesha katika harakati za kudestabislise nchi za kiarabu-hasa zenye utajiri wa mafuta.
Tumeona Tunisia, Misri, Libya na sasa Syria.
Confusion inayaojitokeza BAADA ya mauaji ya wananchi wasio na hatia, hasa Libya, si CNN wala BBC au SKYNEWS zinazoelezea maafa yanayoendelea huko.
Siyo siri kwa leo hii huko Syria kuna majeshi ya Uingereza(Special Forces), hasa Homs , wakijidai kuwa wanawafundisha "wapinga udhalimu" dhidi ya Assad.
Ni wachache sana kati yetu wanaoweza kujua kuwa mashirika ya ujasusi ya nchi za magharibi kwa sasa zinafanya kazi overtime.
Ukweli ni kwamba, wakisha muondoa Assad, watasaini mikataba ya mafuta, baada ya hapo wacha waarabu waendelee kuuana, kama ilivyo Iraq.
Mimi si mpenzi sana wa waarabu, lakini ukiona wenzio wananyolewa-wewe tia maji.
Wakimalizana na Uarabuni-Africa is next! hasa nchi zenye utajiri wa mafuta kama Uganda, Nigeria na hata Sudan zote mbili.
 
Nimekuwa nikifuatilia mauaji dhidi ya RAIA wasio NA hatma Huko Syria. Umoja wa mataifa umoja wa afrika haujafanya juhudi ZA kuzuia mauaji HAYO, ili kuonesha kuwa hatuafiki mauaji yanayoendelea Huko basi tususie bidhaa zako. Maonesho yanaanza tarehe 17 February.

Nilidhani kilichotokea Libya mlipata fundisho nyie miliokuwa mkiunga mkono nchi za magharibi dhidi ya taifa hilo laini yanayotokea sasa walibya wanajuta (taarifa tunazopata kupitia Tv mbalimbali).
Syria makundi yanayoandamana yanachochewa na nchi za magharibi na kupeleka silaha kupitia Uturuki.Idadi inayotolewa ya vifo haitolewi ya askari wanaouawa na silaha zinazotoka nchi za magharibi kupitia Uturuki, TAFAKARI USIFUATE MKUMBO.
 
Hivi kweli watu mnaona watu wanakufa na hawachoki na kweli mnaamini ni "nchi za Magharibi" ndio zinawafanya wajitokeze kila siku kuuawa? Ni kweli mnaamini wale waliokuwa wanaandamana Tahrir square walifanya hivyo kwa sababu nchi za "magharibi" zinataka hivyo? Kweli kabisa mnaamnini yule aliyejitia moto kule Tunisia alifanya vile kwa sababu Marekani "ilikuwa inamuunga mkono"? Mnaamini maandamano yanayoendelea huko Bahrain yanatokana na nchi za magharibi? Inawezekana kabisa wenzetu mnaamini wale waliokuwa wanaandamana kule Yemen kutaka Ali Saleh ang'oke walifanya hivyo kwa sababu Washington DC na London walikuwa wanataka ang'oke?
Jamani, tuwe wa kweli - mwanadamu ana kikomo chake cha kuvumilia haijalishi yuko wapi. Tuliyaona haya Georgia, tuliyaona haya Kiev, tumeyaona haya Beijing, tumeyaona haya hata London na DC kwenyewe! Yametokea haya Mississippi na yametokea Detroit. Tumeyaona Shaperville na yakajirudia Soweto! Tumeona haya mambo Arusha na tumeyaona Nyamongo; tumeyaona haya Mwembechai kama tulivyoyaona Pemba. Msije kufikiria kuwa hayawezi kutokea Temeke, Sinza, Kirumba, Magomeni, Mabatini, au kwenye mji wowote.




Wananchi wana kikomo chake hawahitaji Mmarekani kuwaambia kuwa wanaishi katika maisha ya
kukandamizw









Hivi ni nani kati yetu anaweza kuishi katika hali ya hatari ya kudumu - unazaliwa unakuta hali ya hatari na unakufa bado hali ya hattari ipo?
Tatizo letu wengi hatufuatilii mambo yanavyokwenda duniani kwa sababu tu tunahtaji mabadiliko basi tunasapoti kila kitu....

Hivi hili la Syria na middle East linahitaji knowledge gani kuliona?

Ni kweli Magharibi wanamkono mkubwa Sana katika hili,kumekua na interpretation Mbaya kwa neno la Ugaidi lenyewe na Democracy and even factors used to name SOme nations AXIS OF EVILS.

Kwahiyo kuona kila kinachoendelea mahali kinachohusisha few minority bila ya kujali pengine wengi wanaseamaje na kudhani kuna uhalali ni kushindwa kwanza kutafuta Mantiki na kuona ukweli na Pia kutojua Historia na kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu.

Tujiulize ni nini Malengo ya Magharibi kwa Mataifa Haya ?

Haya ni Mataifa yanayohitaji kutetea Utaifa wao na uwepo wao na Tofauti za kiimani , kitamaduni , na kiitikadi haziwezi kuwa ndio msingi wa kuwaondolea heshima na kuwachagulia nani awaongoze na waishi vipi na Nani wa kuwa nae Rafiki na nani sio Rafiki.

Lengo la Mataifa ya Magharibi ni kudhoofisha tawala hizi especially eneo hili la middle East ambalo Wengi hatuoni mambo yanayoendelea kwengineko tu kwasababu Kinachoendelea Israel na Palestine ni haki ya tawala ambayo inapata support kubwa na Magharibi haiwezi kupata Taswira Kama inayopata Syria,

But we have to doubt the love and compassion that western countries are trying to show to the people's of Libya,Egypt , Syria na kwingineko while so many people's and civilians are being massacres in Palestine still No any Powerful nation have said any mangling words ..

Kwahiyo when you take a look at how These powerful nations trying to Brain wash us on what they believe and needs to be taken as Legitimate Ideology that we should all rely on, we will end up being victims of what we don't benefit from.

Go and ready much on Stuxnet and efforts that ate being done to destabilize countries Like Iran na eneo lote Hilo .

Kila Mtu anayo haki ya kutoa mawazo ila tusipende kuamini kila kitu tunachokiona kwenye western Media since hizi Taarifa tunazopata toka BBC na amature video ni propaganda tu na ni watu wamepangwa kueneza chuki na ni nyingi unaona zinatokea UK kwa wale wapinzani wa ASAD.


Kwahiyo hatukatai mabadiliko yaje lakini kwann yasitokane na wenyeji yatokane na kundi ambalo liko nje muda mrefu na linataka kusympasize na dunia kwamba kuna ukiukwaji wa haki za binadamu .
 
mimi nafikiri kama mngeanza kususia vitu vinavyotoka kule Mwanza au Shinyanga kwa ajili ya mauaji ya Albino kwanza kabla kuangalia wengine.

Nafikiri ni vizuri kuondoa boriti jichoni mwako kabla kuondoa kwa mwenzako.

Pasi na shaka wenye pesa watakwenda na watazinunua kwa wingi sana kama wanavyofanya kila mwaka.
 
mimi nafikiri kama mngeanza kususia vitu vinavyotoka kule Mwanza au Shinyanga kwa ajili ya mauaji ya Albino kwanza kabla kuangalia wengine.

Nafikiri ni vizuri kuondoa boriti jichoni mwako kabla kuondoa kwa mwenzako.

Pasi na shaka wenye pesa watakwenda na watazinunua kwa wingi sana kama wanavyofanya kila mwaka.
duh!! hii akili ya binadamu kweli? ushawahi kuona mtz akipigia makofi uuaji wa maalbino?
 
Ahsante kwa taarifa nilikua sijui kama yanaanza trh 17 me ntaenda.we andaa bango lako
Jamaa wana vitu vizuri na bei yake rahisi! Mwaka jana nilinunua nguo, perfume, kitchen utensils etc kwa bei nzuri sana! Naomba tukumbushane kuwahi kufika kabla Wahindi wenye maduka hapa mjini hawajavimaliza na kwenda kutuuzia kwa bei kubwa madukani kwao. Wabongo tchangamkie biashara hiyo, waache wasio na hela ya kununulia waje na mabango yao wapambane na FFU. Mambo yanayotuhusu hawaonekani, mambo ya Wasyria ndo wanajifanya wakereketwa! Waanze kwanza kupinga ujinga ujinga unaoendelezwa na Mafisadi wa Magamba ndio tutawaelewa. Pilipili usoila, yakuwashiani!
 
Back
Top Bottom