Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,021
- 95,358
Si hoja ya msingi hiyo. Uliza swali lingine.
Umetumwa wewe siyo bure na unazidi kututia hasira sisi ndugu wa marehemu
Si hoja ya msingi hiyo. Uliza swali lingine.
Kwa taarifa yako, kuna baadhi ya sectors huko hufanya kazi zaid ya masaa 8. Sometimes hadi usiku kucha(over working). Na of course muda wa kazi unafahamika (hususan kipindi cha kazi au msimu wa Kilimo kwa Bongo).
Sasa M-Tz anagusa ofisini saa moja then anachepuka bar jirani kunitundika! Au Baba anatelekeza kazi za shambani kwa mke na watoto then anashinda kutwa nzima,wiki & mwezi mzima Bar anakunywa wanzuki,mnazi, #Ulanzi na kadhalika. Unatarajia jamii & Taifa litasonga mbele?
Ushauri mzuri sana Mheshimiwa, lakini hata hiyo Mamlaka iwapende na kuwalinda wananchi, ikitokea hiyo mamlaka ndiyo inayowachukia na kuwaondolea uhai ama inasababisha wananchi wafe haina budi kuoneshwa kwamba vitendo hivyo havikubaliki kwa njia kama hiyo ya wananchi wa Ilula. Polisi inatakiwa ijitafakali kwa kina, kwa nini wananchi wanaigeuka badala ya kuigeukia? Hapa kuna kitu hakijakaa sawa, kuna haja ya kurudi nyuma na kutafakali kuangalia sehemu walipojikwaa ili kujifunza kuwa makini katika mwenendo wao. Lasivyo tuendako ni kubaya zaidi ya haya ya Ilula.Mkuu; Dunia ya leo si ya kale! We people have changed. We have grown a sortie of aggression.
Ushauri wako ni bora na umetoa mchango ulioutukuka ktk mada hii. Bravo!
Hope Polisi na wakubwa wao wangezingatia dhana hiyo. Si kila purukushani hutulizwa na Purukushani. Wanapaswa kuongeza weledi na maarifa zaid.
Pia, ni vyema nasie wananchi kujitahidi kuwa na simile. Kuna matukio au visa tunavifanya sometimes kwa namna ambayo haipendezi. Tujitahidi kuheshimu Mamlaka na kuwa watulivu ktk nyakati fulanifulani za matukio na visa. Sio kuwa aggressive na ushabiki usio na msingi.
Kuna watu wanafany kazi usiku,mfano walinzi,wahudumu wa guest,wanaouza biashara ya vyakula stendi,manesi,madoctor etc muda wao wa leisure ni mchana,sasa kwanini uwazuie wasiburudike kama wale ambao kazi zao ni za mchana na muda wa kupumzika ni jioni?tusiwapangie watu muda na namna ya kutumia hela yaoKwa taarifa yako, kuna baadhi ya sectors huko hufanya kazi zaid ya masaa 8. Sometimes hadi usiku kucha(over working). Na of course muda wa kazi unafahamika (hususan kipindi cha kazi au msimu wa Kilimo kwa Bongo).
Sasa M-Tz anagusa ofisini saa moja then anachepuka bar jirani kunitundika! Au Baba anatelekeza kazi za shambani kwa mke na watoto then anashinda kutwa nzima,wiki & mwezi mzima Bar anakunywa wanzuki,mnazi, #Ulanzi na kadhalika. Unatarajia jamii & Taifa litasonga mbele?
Acha kushabikia mauaji. Sera nzuri ni kuwaelimisha wananchi kuhusu maendeleo na sio kuwalazimisha na kuwaua!
Angalieni muda alioweka hii post,kama yuko tanzania ni wazi kakosa usingizi au mamsap/bamsap kamnyima unyumba hivyo hasira zake kazimalizia Ilula.Mwenye information atujuze huo mtaa anaongoza wa chama gani?
Haukuwa wakati muafaka wa kifanya hivyo. By the way,dhana inafahamika kwamba kulikuwa na wauzaji & wanywaji wa pombe wakati ambao ulikuwa sio mujjarab.
Unadhani hii ni jamuhuri ya KONDOO wa kupangiwa kila kitu na manjagu.Saa ya kula kunywa kulala kutembea...nk,total rubbish!
Kwa taarifa yako, kuna baadhi ya sectors huko hufanya kazi zaid ya masaa 8. Sometimes hadi usiku kucha(over working). Na of course muda wa kazi unafahamika (hususan kipindi cha kazi au msimu wa Kilimo kwa Bongo).
Sasa M-Tz anagusa ofisini saa moja then anachepuka bar jirani kunitundika! Au Baba anatelekeza kazi za shambani kwa mke na watoto then anashinda kutwa nzima,wiki & mwezi mzima Bar anakunywa wanzuki,mnazi, #Ulanzi na kadhalika. Unatarajia jamii & Taifa litasonga mbele?
Wakuu; heshima mbele!
Napenda kuwasihi sana Watanzania wenzangu kudumisha umoja,mshikamano na uzalendo. Hii nikutokana na mambo kadhaa yanayotokea nchini kwetu(hususan current Police v/s Citizens' Laments).
Nikijikita ktk suala la juzi pale Ilula-Iringa,nimeshuhudia baadhi ya Watanzania kadhaa ktk mitandao mbalimbali ya kijamii na hata mitaani kote wakiendelea kulilalamikia Jeshi la Polisi kuwa, ni watesaji wasiozingatia misingi ya Utu.
Mimi naomba nitofautiane na malalamishi hayo(nikirejea tukio hilo hapo juu).
Ni ukweli uliowazi kwamba, Polisi walikuwa wanakwenda kutekeleza Ilani,Sheria na Utaratibu wa Nchi na Utawala-Mahalia (By-Laws),ambao ni mpango wakusimamia mienendo na taratibu za Wananchi kuhakikisha wanalisukuma vyema gurudumu la maendeleo.
Haipingiki kwamba,kuna mambo mengi sana yasiyokuwa ya msingi yanawafanya watu/wananchi kulegea na kushindwa kujihusisha kwa bidii na umakini kufanya shughuli za maendeleo. UNYWAJI HOLELA WA POMBE au ULEVI WA AINA YOYOTE, ni miongoni mwa mambo hayo.
Ni jukumu la Mamlaka kutunga sheria na utaratibu kufanya "perpendicular & mutual monitoring" kwa Raia wake ili kutimiza malengo ya maendeleo. Hicho ndicho kitendo kilichokuwa kinafanyika pale Ilula.
Si busara wala hekma kumwacha mtu/watu kuenenda katika njia mbovu badala ya kujikita katika shughuli za maendeleo kwa wakati muafaka uliopangwa.
Yule mama aliyeanguka na kufariki (R.I.P), ni wazi kwamba,ilitokea bahati mbaya (kama inavyoweza kumtokea yeyote yule), na si kwamba alipigwa au kuteswa na Polisi.
Now; malalamiko yanayoendelea kutolewa na baadhi ya Watanzania juu ya tukio hilo(yakielekezwa kwa Polisi na Serikali), si sahihi hata kidogo. Mnyonge mnyongeni,lakini Hakhi yake mpeni.
Nchi kama CHINA,S.KOREA na RUSSIA,wako Serious mno kufuatilia nidhamu za Wananchi ktk uzalishaji mali na kujituma kwa Wananchi. Naamini that's why wako juu kiuchumi. **Sasa shida inakuja wapi kwa Serikali na Polisi wa Tanzania kusimamia Nidhamu ya kazi ya Raia wake?**
MY TAKE;
Watanzania tusihemke na kukengeuka bila sababu. Tuwe wawazi na Makini mbele za Mungu. Tusihamaki bila sababu za msingi. Tujitengenezee mazingira na Saikolojia yakutii sheria halali bila shuruti,kwa manufaa yetu binafsi,kizazi chetu na kwa Taifa letu Tanzania.
Nawasilisha.
Wakuu; heshima mbele!
Napenda kuwasihi sana Watanzania wenzangu kudumisha umoja,mshikamano na uzalendo. Hii nikutokana na mambo kadhaa yanayotokea nchini kwetu(hususan current Police v/s Citizens' Laments).
Nikijikita ktk suala la juzi pale Ilula-Iringa,nimeshuhudia baadhi ya Watanzania kadhaa ktk mitandao mbalimbali ya kijamii na hata mitaani kote wakiendelea kulilalamikia Jeshi la Polisi kuwa, ni watesaji wasiozingatia misingi ya Utu.
Mimi naomba nitofautiane na malalamishi hayo(nikirejea tukio hilo hapo juu).
Ni ukweli uliowazi kwamba, Polisi walikuwa wanakwenda kutekeleza Ilani,Sheria na Utaratibu wa Nchi na Utawala-Mahalia (By-Laws),ambao ni mpango wakusimamia mienendo na taratibu za Wananchi kuhakikisha wanalisukuma vyema gurudumu la maendeleo.
Haipingiki kwamba,kuna mambo mengi sana yasiyokuwa ya msingi yanawafanya watu/wananchi kulegea na kushindwa kujihusisha kwa bidii na umakini kufanya shughuli za maendeleo. UNYWAJI HOLELA WA POMBE au ULEVI WA AINA YOYOTE, ni miongoni mwa mambo hayo.
Ni jukumu la Mamlaka kutunga sheria na utaratibu kufanya "perpendicular & mutual monitoring" kwa Raia wake ili kutimiza malengo ya maendeleo. Hicho ndicho kitendo kilichokuwa kinafanyika pale Ilula.
Si busara wala hekma kumwacha mtu/watu kuenenda katika njia mbovu badala ya kujikita katika shughuli za maendeleo kwa wakati muafaka uliopangwa.
Yule mama aliyeanguka na kufariki (R.I.P), ni wazi kwamba,ilitokea bahati mbaya (kama inavyoweza kumtokea yeyote yule), na si kwamba alipigwa au kuteswa na Polisi.
Now; malalamiko yanayoendelea kutolewa na baadhi ya Watanzania juu ya tukio hilo(yakielekezwa kwa Polisi na Serikali), si sahihi hata kidogo. Mnyonge mnyongeni,lakini Hakhi yake mpeni.
Nchi kama CHINA,S.KOREA na RUSSIA,wako Serious mno kufuatilia nidhamu za Wananchi ktk uzalishaji mali na kujituma kwa Wananchi. Naamini that's why wako juu kiuchumi. **Sasa shida inakuja wapi kwa Serikali na Polisi wa Tanzania kusimamia Nidhamu ya kazi ya Raia wake?**
MY TAKE;
Watanzania tusihemke na kukengeuka bila sababu. Tuwe wawazi na Makini mbele za Mungu. Tusihamaki bila sababu za msingi. Tujitengenezee mazingira na Saikolojia yakutii sheria halali bila shuruti,kwa manufaa yetu binafsi,kizazi chetu na kwa Taifa letu Tanzania.
Nawasilisha.
Haukuwa wakati muafaka wa kifanya hivyo. By the way,dhana inafahamika kwamba kulikuwa na wauzaji & wanywaji wa pombe wakati ambao ulikuwa sio mujjarab.