Tusipokuwa makini, kifuatacho ni kusikia ajali za Mabasi ya Mwendo kasi na Treni ya Stesheni-Pugu

Utazikwa wewe na familia yako kabla ya hayo mabasi walahi!
Kipimo unacho pima HUWA NA KAWAIDA YA KUKUPIGA WEWE NA FAMILIA YAKO WALAHI!
 
Huku inabidi apatikane mmoja wa kunyongwa kwa uzembe huu ili liwe somo kwa wengine, roho za watanzania zinapotea kama za kuku
 
Yaan wanajaza kupita maelezo, mpaka watu hawapumui??? hii ni hatari kbasa kwa hali kama hiyo
 
Huku inabidi apatikane mmoja wa kunyongwa kwa uzembe huu ili liwe somo kwa wengine, roho za watanzania zinapotea kama za kuku
Namimi napendekeza hivo maAna unakuta watu wazembe wazembe tu
 
Huu mradi haujawahi kuwa na mabus 600 wala sahivi hayapo 300,

Mabus yalikuwa 140 mwanzoni mwa mradi, wakaongeza mengine 70 bado yapo bandarini ili kufanya yawe 210,

Tambua bado mabus yapo 140, haya ukipunguza yanayokuwa kwenye maintenance ndo utajua yanabaki mangapi yanayofanya kazi.
Kwahiyo unawatetea?
 
Wanasema ukichukua hatua kabla ya ajali una matumizi mabaya ya rasilimali, lakini pia baadhi ya watu hawapendi kuchukua tahadhari kwakuwa wananeemeka yanapotokea majanga



Kuna ongezeko kubwa sana la wagonjwa wa TB, yawezekana msongamano kwenye mabasi ni moja ya sababu
Kabisa TB mle lazima impate mtu
 
Acheni bwana! Sie tunaunga mkono juhudi! Kama mwendokasi itaanguka kwa kujaza abiria hizo ni juhudi za kufikisha abiria wengi zaidi kwenye shughuli zao, hapakazituu. Treni ya Pugu ikiacha reli kwa wingi wa abiria ni uzalendo wa kupenda kazi ili wasichelewe!
Itakuja kujua watu hasa
 
Mwendokasi ni usafiri wa ovyo kabisa. Nimepanada majuzi nilishindwa hata kipumua. Kwa mjazano ule walahi itakuja kuleta balaa
 
Utazikwa wewe na familia yako kabla ya hayo mabasi walahi!
Kipimo unacho pima HUWA NA KAWAIDA YA KUKUPIGA WEWE NA FAMILIA YAKO WALAHI!
Akili zako mbovu sanaaa sasa nakirudishia siku ukilipanda tu ww ambae hauko tayar kukosolewa na ukajikosoa utakuwa wa kwanza kufia huko!
 
Wiki moja kbla ya wiki ya kuzama kwa kivuko cha Mv Nyerere nilikuwa jijini Dsm.

Wakati nikiwa jijini nilitumia usafiri wa mwendo Kasi kutoka mbezi ya kimara kwenda posta!

Ndgu zangu kuna hatari kubwa inakuja kwa magar hayo yani magar nasema ipo siku yatazika watu!

Narudia kusema kwa sbabu idadi ya abilia wanao panda gar hizo ni wengi sanaaa,kibaya zaid magar hayo abilia wanasimama mpka mlango wengine wanakanyaga sehemu ambayo imeunganisha gar moja na jingine!

Nje ya yote sidhani kama yale magari yanafanyiwa aervice au la maana ukiingia ndani magar yapiga kelele hatar.

Niwaombe tu ndgu wa Dsm omben mrudishiwe Dcm zenu vingine hayo magari ambayo mradi umekaa kisiasa utawachinja sanaaa.

Nyinyi hamjiulizi kwa nn mnajazana hivuo trafic hawasemi lolote wala hakuna sumtra anae kuja kuongea na abilia? Siasa hizi jaman zitawamaliza ndgu amke leooo hii tunaambiwa sheria za vivuko vya umma na private ni tofauti this is politics

Nareje hili Mode naomba usifute uzi huu iko siku mtanikumbuka
Ongera kwa kuja Dar es salaam. Na kupanda mwendokasi. Je umeenda na kwy daraja la nyerere kushangaa, umeenda Mlimani city na umeenda kwy daraja la tazara{a.k.a Flyover}
Kalibu sana dar es salaam ndugu
 
Mkuu tunaomba ututolee huo uchuro wako, ungekua mtabili ungetabili kabla ya hiyo ajali, mabasi ya mwendokasi bado ni usafiri salama sana kwa abilia, na hata siku ikitokea ajali itakua ni kwa sababu zingine za kibinadamu lakini sio kwa hizo sababu ulizotaja. Kwanza inaonesha wewe sio mtu wa Dar, mradi huo walijitahidi sana kuzingatia suala zima la usalama kwa sisi tuliosoma mambo ya usalama mahali pa kazi tunajua hilo.Tatizo la watanzania kila mtu atajidai anajua, mwisho mtaanza kutwambia hata kuingia chooni ni hatari.
 
Back
Top Bottom