nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,706
- 7,447
Hizi mada hushadadiwa zaidi na vijana wa kanda ya kaskazini(hasa wachaga)...
Hawa ni mabingwa wa ukabila na migawanyo...
Wamekua machawa wa Samia lakini ni kama mama huyu hawajali, walitamani mawaziri wengi watoke huko lakini kimya
Sasa hasira zao ndo kama hivi.
Hawa ni mabingwa wa ukabila na migawanyo...
Wamekua machawa wa Samia lakini ni kama mama huyu hawajali, walitamani mawaziri wengi watoke huko lakini kimya
Sasa hasira zao ndo kama hivi.