Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,838
- 26,510
Una maana Pascal Mayalla naye ni mshamba au?😁😁Kanda ya Ziwa ni Washamba, hawana impact yoyote, wabunge wao wote la saba
Una maana Pascal Mayalla naye ni mshamba au?😁😁Kanda ya Ziwa ni Washamba, hawana impact yoyote, wabunge wao wote la saba
Kanda ya ziwa ndyo kila kitu kwa Nchi hii ila kwa wanaoelewa. Na na ndyo kanda inayotoa watu makini sana kwa wanaoelewa pia wanaelewa hili
Ni kweli na wanasiasa wakubwa wanakanyagana kuiteka Lake Zone lakini bahati mbaya kule watu wachorwa mihuri ya JPM na watu wananongwa kweli.
Penda usipende bado hali ya hewa si nzuri kwa CCM kule kanda ya ziwa na kuna wimbi la vijana wengi watakuwa wapiga kura wapya 2025 ambao ni kizazi kilichomshuhudia JPM.
Tofautisheni usukumani na kanda ya ziwa maana siyo kila mwenye asili ya kanda ya Ziwa ni msukumaMheshimiwa Mpina asikutishe hata kidogo, anayo hulka ya kujiweka juu sawa na marehemu JPM ni asili yao hiyo, hata ukimtazama Kalemani utagundua yupo hivyo hivyo.
CCM watakuwa wanajua namna ya kuishi na kanda hiyo inayokuwa kwa kasi haswa Samia ambaye boss wake wa zamani ni mtu wa kanda yetu pendwa.
Huwezi kuikwepa reality !Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Mifumo ya uchaguzi ndani ya CCM ni uozo...nimeambiwa Wabunge toka kanda ya ziwa ni MATAJIRI kuliko wabunge wa maeneo yote ya Tanzania.
..Utajiri huo wa wabunge wa kanda ya ziwa hauko translated ktk ubora wa maisha ya wapiga kura wao.
Kanda ya ziwa inayo makabila mengi japo wasukuma ndio wengi !Tofautisheni usukumani na kanda ya ziwa maana siyo kila mwenye asili ya kanda ya Ziwa ni msukuma
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Duh 🙄 !Hata aliewaletea uhuru alitoka huko, akajua kuwalindia rasilimali ambazo Leo mnagawa bure kwa wajomba na vibaraka wenu
Mifumo ya uchaguzi ndani ya CCM ni uozo.
Tuitumie kama fursa kupigania kupunguza ukubwa wa bunge, kama mbunge mmoja anaweza kuzungumzia kanda nzima kuna haja gani kuwa na makumi ya wabungeLeo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Kwa hiyo Migodi kama GGM, Mwadui, North Mara, Buhemba n.k inamilikiwa na Wasukuma?Karudie shule elimu ya gumbaru,,,mkoa kama mwaza,geita,shinyanga inamchango kidogo kivipi wakati almasi nchi hii ipo shinganga pekee,geita dhahabu,mwaza ziwa,simiyu na mara dhahabu.
Ukificha upumbavu wako itasaidia na vile mtu mzimaKanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Kuna red na blue states, kuna kusini, Kaskazini, Mashariki na magharibiMgawanyo haujawahi kuisha. Hata US wanajitambua kuwa kuna wahispania, walatino, weusi, weupe ambao nao kuna wajerumani, wascotland, Waireland, Waingereza wa England, Wafaransa, Waitaliano, Wayahudi, Wascandnavia
Wazungu wa Marekani waliamua kutumia mfumo wa serikali za majimbo na electoral college kwa sababu ya ukanda.Watu weusi bado mnajigawa ki kanda. Pumbav
Serikali za majimbo ndio zitatoa majibu sahihiUkweli mtupu na hauepukiki tena kwa chama chochote cha siasa. Ni mapungufu mojawapo ya kidemokrasia.
Uwezo Ndogo sana wa kuelewa Mambo, fuatilia uone kama kuna Kanda nyingine ya kushindana na Kanda ya Ziwa kwenye mchango wake kwa Taifa ukitoa Dar wanaotegemea zaidi bandari. Huu mchezo hauhitaji hasira utayanywa tu maji upende usipende. Lake Zone ni level nyingine wewe.uzuri wana mchango mdogo sana kwenye uchumi wa nchi...😂