Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Usihukumu shekhe.Wachadema watakuwa wa kwanza kuhamia majukwaa mengine kama ze uchungu,n.k!Kwa maana kipondo cha uchaguzi watachokipata hawatakuwa radhi kuvumilia wenzao wakijilia bata kama afanyavyo Chidi beeenzi!
uchaguzi huu siyo mwisho. bali ni mwanzo wa vuguvugu la ukombozi kamili
kama mkishinda kihalali tutawapongeza lakini mkiiba kura tunajua pa kuwachongea