Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,135
Kwanza napenda kufurah kwa kuona jinsi vijana walivyokuwana muamko wa kila sehemu kuataka mabadiliko tumeona mod wametuwekea jukwaa la uchaguzi ombi langu si haba kukawepo na jukwaa la baada ya uchaguzi tuangalie walioshindwa wapi wamekosea na nini kifanyike na si haba kuangalia je waliochukua nchi tutawasaidiaje kwa mapenzi ya watanzania wote na si vinginevy mwisho na penda kutoa wasaa baada ya uchaguzi tuungane kusaidia tanzania yetu uchama udini tuumalize baada ya 31 oct
kila la kheri kama umejiandikisha
kila la kheri kama umejiandikisha