Tusijidanganye Simba hii ni ya kawaida sana, uongozi unaendeshwa kiujanja ujanja, MO tuachie timu yetu

Wakuu kwema?

Ukitizima kwa jicho la kiufundi hii timu yetu ya Simba ni timu dhaifu, kweli tutasema tumefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Africa lakini tumekutana na timu gani? Huwezi kujisifu kwa kupigana na mlevi.

Tazama mechi ya Azam, Singida na Yanga, Simba yetu ikikutana na timu iliyo 'compact' hatutoboi, ukweli usemwe. Tuna wachezaji ambao ni wa kawaida sana, mtu kama Kibu ataifikisha wapi timu?

Aya twende kwenye uongozi, huku ndiyo ujanja ujanja, walikuwa wanajificha kwenye kivuli cha Yanga kufungwa kimataifa. Mpaka sasa kocha mkuu Mgunda hana mkataba, hawajui kama wamuongezee au watafute kocha mpya.

Mpaka sasa anayejiita mwekezaji hajaweka ile pesa shilingi bilioni 20 kama thamani ya hisa ya asilimia 49. Timu inasajili wachezaji wa laki 5 kama akina Kibu itafika wapi? Angalia Yanga wamecheza michezo pungufu ila ndiyo wanaongoza ligi. Halafu kuna mbumbumbu wanasema tutachukua kombe, labda kombe la kahawa.

Mo Dewj tuachie timu yetu, ondoka na huyo dada yako Barbra, wanachama tunataka 20b, hatuwezi kuendelea kuwa mambumbumbu kiasi hiki.

Kwenye hisa 51% ww umenunua ngapi?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mwamedi tuachie timu yetu,Mzee Kilomoni na Bi Hindu njooni tuwape timu. Mzee Kilomoni uwe Rais na Bi Hindu uwe CEO.
 
Wakuu kwema?

Ukitizima kwa jicho la kiufundi hii timu yetu ya Simba ni timu dhaifu, kweli tutasema tumefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Africa lakini tumekutana na timu gani? Huwezi kujisifu kwa kupigana na mlevi.

Tazama mechi ya Azam, Singida na Yanga, Simba yetu ikikutana na timu iliyo 'compact' hatutoboi, ukweli usemwe. Tuna wachezaji ambao ni wa kawaida sana, mtu kama Kibu ataifikisha wapi timu?

Aya twende kwenye uongozi, huku ndiyo ujanja ujanja, walikuwa wanajificha kwenye kivuli cha Yanga kufungwa kimataifa. Mpaka sasa kocha mkuu Mgunda hana mkataba, hawajui kama wamuongezee au watafute kocha mpya.

Mpaka sasa anayejiita mwekezaji hajaweka ile pesa shilingi bilioni 20 kama thamani ya hisa ya asilimia 49. Timu inasajili wachezaji wa laki 5 kama akina Kibu itafika wapi? Angalia Yanga wamecheza michezo pungufu ila ndiyo wanaongoza ligi. Halafu kuna mbumbumbu wanasema tutachukua kombe, labda kombe la kahawa.

Mo Dewj tuachie timu yetu, ondoka na huyo dada yako Barbra, wanachama tunataka 20b, hatuwezi kuendelea kuwa mambumbumbu kiasi hiki.
Ukosefu wa maarifa ni mzigo
 
Tanzania tukiachana na mapenzi ya vilabu, chama na mengine na tukatumia akili kureason muwekezaji wa kweli kwenye mpira ni yusuph tu wa Azam sio GSM wa MO.
 
Wakuu kwema?

Ukitizima kwa jicho la kiufundi hii timu yetu ya Simba ni timu dhaifu, kweli tutasema tumefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Africa lakini tumekutana na timu gani? Huwezi kujisifu kwa kupigana na mlevi.

Tazama mechi ya Azam, Singida na Yanga, Simba yetu ikikutana na timu iliyo 'compact' hatutoboi, ukweli usemwe. Tuna wachezaji ambao ni wa kawaida sana, mtu kama Kibu ataifikisha wapi timu?

Aya twende kwenye uongozi, huku ndiyo ujanja ujanja, walikuwa wanajificha kwenye kivuli cha Yanga kufungwa kimataifa. Mpaka sasa kocha mkuu Mgunda hana mkataba, hawajui kama wamuongezee au watafute kocha mpya.

Mpaka sasa anayejiita mwekezaji hajaweka ile pesa shilingi bilioni 20 kama thamani ya hisa ya asilimia 49. Timu inasajili wachezaji wa laki 5 kama akina Kibu itafika wapi? Angalia Yanga wamecheza michezo pungufu ila ndiyo wanaongoza ligi. Halafu kuna mbumbumbu wanasema tutachukua kombe, labda kombe la kahawa.

Mo Dewj tuachie timu yetu, ondoka na huyo dada yako Barbra, wanachama tunataka 20b, hatuwezi kuendelea kuwa mambumbumbu kiasi hiki.
Kwani Mzee Kilomoni anasemaje kuhusu jambo hili! Akisema tuandamne, basi mimi niko tayari hata kesho.
 
Wakuu kwema?

Ukitizima kwa jicho la kiufundi hii timu yetu ya Simba ni timu dhaifu, kweli tutasema tumefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Africa lakini tumekutana na timu gani? Huwezi kujisifu kwa kupigana na mlevi.

Tazama mechi ya Azam, Singida na Yanga, Simba yetu ikikutana na timu iliyo 'compact' hatutoboi, ukweli usemwe. Tuna wachezaji ambao ni wa kawaida sana, mtu kama Kibu ataifikisha wapi timu?

Aya twende kwenye uongozi, huku ndiyo ujanja ujanja, walikuwa wanajificha kwenye kivuli cha Yanga kufungwa kimataifa. Mpaka sasa kocha mkuu Mgunda hana mkataba, hawajui kama wamuongezee au watafute kocha mpya.

Mpaka sasa anayejiita mwekezaji hajaweka ile pesa shilingi bilioni 20 kama thamani ya hisa ya asilimia 49. Timu inasajili wachezaji wa laki 5 kama akina Kibu itafika wapi? Angalia Yanga wamecheza michezo pungufu ila ndiyo wanaongoza ligi. Halafu kuna mbumbumbu wanasema tutachukua kombe, labda kombe la kahawa.

Mo Dewj tuachie timu yetu, ondoka na huyo dada yako Barbra, wanachama tunataka 20b, hatuwezi kuendelea kuwa mambumbumbu kiasi hiki.
Utopolo mtupu umeandika.
 
Waosema mo awaachie timu yao ni utopolo na wanaosema Gsm awaache timu yao ni makolo
 
Back
Top Bottom