Nani nauliza tu, ni nani anaweza kuwa Rais na Watanzania wakawa hawana wasiwasi nae!
Niwaonavyo viongozi wa CHADEMA nyuma ya pazia ni wabinafsi.
Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya matendo yao ni magoigoi wanaoweza kukimbia nchi ikiwa wananchi wataamua kuandamana na hawa sifa za usafi, tuseme ni wachumia matumbo.
Kama ni Lissu huyu hana shukurani na amejaa kiburi, Mbowe ni mtu wa chupa yaani wamejaa maulahgai.
Wanachama wa CHADEMA tutajieni kama ataweza kujadilika uchaguzi haupo mbali tena, hatuwasikii makelele ya ya madai ya Tume huru hadi uchaguzi kesho ndio utawaona wanakurupuka kuwalisha wananchi matango pori.
Niwaonavyo viongozi wa CHADEMA nyuma ya pazia ni wabinafsi.
Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya matendo yao ni magoigoi wanaoweza kukimbia nchi ikiwa wananchi wataamua kuandamana na hawa sifa za usafi, tuseme ni wachumia matumbo.
Kama ni Lissu huyu hana shukurani na amejaa kiburi, Mbowe ni mtu wa chupa yaani wamejaa maulahgai.
Wanachama wa CHADEMA tutajieni kama ataweza kujadilika uchaguzi haupo mbali tena, hatuwasikii makelele ya ya madai ya Tume huru hadi uchaguzi kesho ndio utawaona wanakurupuka kuwalisha wananchi matango pori.