Tusaidiane kujibu maswali haya jamani!

Nitaacha pombe na kuwaambia nilikuwa nawapima familia yangu kama wanauvumilivu, nitawaambia sasa nimeacha pombe tuishi kwa kuheshimiana
 
Kuishi bila pombe inawezekana...
inawezekana sana,..kwasababu inawavunjia watu wengi sana heshima..bora heshima ishuke kwa majirani kuliko kushuka kwa watoto uliowazaa...kwetu sisi, mzazi hata anapoenda chooni, anajificha watoto wasijue...na mtoto ukiona kwa mbali mama au baba anaenda uwani, unatoka nduki unaenda kujificha mbali....wengine hadi wanafika miaka kama mitano, wanaamini baba na mama hawaendagi chooni...hahahah..sasa kuona laivu baba kajichafulia,...hapo heshima inashuka kwakweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom