Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Heri ya mwaka mpya jamani.Naomba kujuzwa hivi kwanini saa zetu hapa nchini ikiandikwa 7 tunasema saa 1,ikiandikwa 8 tunasoma hiyo ni saa 2.Naomba kujuzwa nini kinapelekea kuwa hivyo naamini humu kuna wataalam wa kila namna ambao wanaweza kunijuza hili jambo.HUWA NAPENDA SANA KUREASON HATA MAMBO MADOGO ndio kisa cha kupost hii kitu.