Tusaidiane kufikili haka ka kitu.

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,726
19,874
Heri ya mwaka mpya jamani.Naomba kujuzwa hivi kwanini saa zetu hapa nchini ikiandikwa 7 tunasema saa 1,ikiandikwa 8 tunasoma hiyo ni saa 2.Naomba kujuzwa nini kinapelekea kuwa hivyo naamini humu kuna wataalam wa kila namna ambao wanaweza kunijuza hili jambo.HUWA NAPENDA SANA KUREASON HATA MAMBO MADOGO ndio kisa cha kupost hii kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom