Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Vyama vilivyoingia kwenye uchaguzi ni vinane, wewe umeandika matokeo ya vyama saba. hizo 83 ni za chama cha nane. sina kumbukumbu ni chama gani lakni nina uhakika ni vyama vinane vilivyoshiriki uchaguzi.
Hbr,jamani hvi hii imeshindwa kutumia hata kalkuleta kupiga hesabu za kura?,according to mwananchi na tanzania daima... wananchi waliojitokeza kupiga kura ni 53672 na zilizoharibika ni 1185 yan kura halali ni 52487 na mchanganua ni CCM-26484,CDM-23260,CUF-2104,AFP-235,CHAUSTA-182,DP-76 NA SAU-63 zinakupa jumla ya 52404. Jaman kula halali 52487 ni tofauti ya 83,.je 83 zimeenda wapi?,hata kama 83 ni kura chache je hazipunguz imani ya watu kwa tume?,au ndo walichakachukua vibaya wakasahau kubalance data?.