JuaKali
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 776
- 118
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia habari mbali mbali kutoka serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa jinsi mambo yanavyoendelea huko hatuna budi Tanzania bara tukaanza kudai serikali yetu ya Tanganyika kwa nguvu zote. Tutakuja juta mambo yakienda mrama. Hawa jamaa ni ma-selfish wakubwa wanapenda kuvuna wasipopanda lakini vya kwao wanavijengea ngome. Tuungane pamoja kudai taifa letu. Mungu bariki Tanganyika