Turejeshe nchi yetu Tanzania!-Hotuba ya Mzalendo Zitto Kabwe

The problem is "You think contrary to what you practice"Usaliti wa wenzako kwasababu ya vijisenti nimbaya kukiko Ufisadi!
 
Kurejesha Tz ni kuitoa ccm madarakani siyo kuisambaratisha UKAWA. Hiyo ni kazi nyingine Zitto na wasaliti wenzake waliyopewa na ccm
 
Km mzalendo kwann hakuwa mwanachama tuu mpaka amejipa ufalme?. Aache sana. Zito wakitajwa wanasisa wenye pesa yupo. Huku Tabata kuna nyumba ya kifahari wanasema ya Zito. sasa huo uzalendo uko wapi?.

Kumbe wanasema! Mimi nilifikiri kasema mwenyewe kuwa ni yake. Vilivyo vyake tutaviona kwenye tovuti ya ACT, mna haraka gani!?
 
Mbowe, Slaa na Lissu walipo soma speech hii walianza kuulizana wao kwa wao kwa nini Lissu ulitangaza kuwa amefukuzwa wakati kikao cha kamati kuu kilikuwa hakija jadili swala hii? Lissu akamshota kidole Slaa. Slaa, mwaka huu kazi ipo. Dogo ameenda shule, kwa stahili hii ma billion tuliyo ficha Uswisi itakuwa hadharani.
 
Ufafanuzi wakuu. Cheo cha kiongozi mkuu kimenichanganya kidogo maana tayari ACT wana Mwenyekiti na Katibu. Kiongozi mkuu ndio rais wa chama au!
 
Watanzania sasa huko tumetoka tuko hapa, na ya huko yalitushinda tena na muasisi mwenyewe akiwepo, kutuaminisha kwamba nchi hii inaweza kuwa ya kijamaa, kwa kweli ni kupotezeana muda. Tunakwenda na mfumo wetu huu, haijulikani ni UjamaaBepari huku tukiondoa mafisadi wote na kuweka sheria kali kwa mustakabali wa taifa letu
 
Mbowe, Slaa na Lissu walipo soma speech hii walianza kuulizana wao kwa wao kwa nini Lissu ulitangaza kuwa amefukuzwa wakati kikao cha kamati kuu kilikuwa hakija jadili swala hii? Lissu akamshota kidole Slaa. Slaa, mwaka huu kazi ipo. Dogo ameenda shule, kwa stahili hii ma billion tuliyo ficha Uswisi itakuwa hadharani.

Hahahahaha duh,huu mwaka yangu macho.
 
Zitto hii hotuba imejaaa hoja za kutosha kumfikirisha mwananchi yoyote kuamua kipi afanye kwa ajili ya maisha yake ya sasa,kesho na hata uzeeeni
nacho ni kujiunga chama cha kizakendo ACT_WAZALENDO
TAIFA KWANZA LEO NA KESHO
 
Last edited by a moderator:
Ufafanuzi wakuu. Cheo cha kiongozi mkuu kimenichanganya kidogo maana tayari ACT wana Mwenyekiti na Katibu. Kiongozi mkuu ndio rais wa chama au!

sio kiongozi mkuu ni kiongozi wa chama
tunajaribu kutenganisha shughuli za chama na serikali

kionhozi wa chama anaweza akagombea nafasi yoyote serikalini while mwenyekiti wa chama atakuwepo kwa ajili ya kufanya shughuli za chama

hivyo kiongozi wa chama ataweza kutembea popote kukitangaza chama na kurudisha mrejesho kwa mwenyekiti

huu mfumo utumiwa na nchi nyingi zilizoendelea
tofauti na sisi kwa mfano KIKWETE NI MWENYEKITI WA CHAMA PAMOJA NA KIONGOZI WA SERIKALI
ATALINDA VIPI MASLAHI YA WANACHI BADALA YA CHAMA?

so ni kujaribu kutenganisha chama na serikali by the way ungemsikiliza Ndugu Kitila leo hii ungeelewa namaanisha nini
 
Watanzania sasa huko tumetoka tuko hapa, na ya huko yalitushinda tena na muasisi mwenyewe akiwepo, kutuaminisha kwamba nchi hii inaweza kuwa ya kijamaa, kwa kweli ni kupotezeana muda. Tunakwenda na mfumo wetu huu, haijulikani ni UjamaaBepari huku tukiondoa mafisadi wote na kuweka sheria kali kwa mustakabali wa taifa letu

soma kwanza hiyo hotuba usikoment tu
 
Back
Top Bottom