mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,604
- 5,610
Ndo uelezee sasa uwatoe hofu wana wa nchi. Kusema hakuna haitoshi.Hakuna atakayepoteza hela yake hata kama bank ikifilisika kuna mambo mnachanganya...
Ndo uelezee sasa uwatoe hofu wana wa nchi. Kusema hakuna haitoshi.Hakuna atakayepoteza hela yake hata kama bank ikifilisika kuna mambo mnachanganya...
Ila salama,uzur liquid nayokuwa nayo n kwa ajili ya matumiz ya kawaida,any amount in excess of 1 million naingiza kwenye asset hasa ardhi na kujengaHuo mfumo ni hatari Mkuu.!!!
Wameanza kufunga baadhi ya matawi, niliona message walimtumia jamaa yangu kwamba tawi la babati linafungwa december 31, nadhani wameshalifunga toka last week... tusubiri tuone kama watafunga na mengineEXIM Vepee, maana wanakaukiwa sana kwenye ATM zao
Hii kamba ndefu sanaNyie hamjui mchezo unaochezwa...kufilisi benki ndogo ndogo ambazo ndo zina afueni ya moja kwa moja kwa wananchi ni mkakati wa serikali na mabenki makubwa ili ukaweke hela zako NMB au CRDB ili uwape hati wafilisi nyumba....so huja pa kukimbilia.
Kwasasa nimetoa hela zangu zote pale NMB samora, kama milioni 82 hivi cash kwa mpigo hadi Teller akaanza kurembua kumbe mm nahamishia kwangu..nimezitandaza chini ya godoro, nikiamka asubuhi nachomoa elfu 10 yangu ya kutwa naingia mtaani
kwa hiyo pesa zao walipeleka sadaka au...Nasikia ilianza kusuasua baada ya kuingiza maswala ya dini fulani kwenye utendaji wao wa kazi.
Sema tu wale wasiopenda ribaNasikia ilianza kusuasua baada ya kuingiza maswala ya dini fulani kwenye utendaji wao wa kazi.
Bora nibaki na chenchi zangu ndani. Kesho asubuhi nadamkia benki.Bank zinaweka bondi kule BOT na hiyo bondi itafidia madeni na dhamana zote za wateja, hakuna atakaye poteza. Ingawa kutakakuwa na usumbufu /
Kwa undava uliopo unaweza zungushwa hadi umauti unakufikia kwa msongo wa mawazo.Bank zinaweka bondi kule BOT na hiyo bondi itafidia madeni na dhamana zote za wateja, hakuna atakaye poteza. Ingawa kutakakuwa na usumbufu /
Nyie hamjui mchezo unaochezwa...kufilisi benki ndogo ndogo ambazo ndo zina afueni ya moja kwa moja kwa wananchi ni mkakati wa serikali na mabenki makubwa ili ukaweke hela zako NMB au CRDB ili uwape hati wafilisi nyumba....so huja pa kukimbilia.
Kwasasa nimetoa hela zangu zote pale NMB samora, kama milioni 82 hivi cash kwa mpigo hadi Teller akaanza kurembua kumbe mm nahamishia kwangu..nimezitandaza chini ya godoro, nikiamka asubuhi nachomoa elfu 10 yangu ya kutwa naingia mtaani
Kwa wanoijua equity bank wadau, vijisenti vyetu visije vikapotea
Acha uongo NBC iko vizuri.NBC Ipo hoi. Inabebwa tu kwa sababu ina dhamana kubwa za serikali na mashirika mengi ya serikali yapo kule.
Lakini ni hoi bin taabani NBC.
Kuweni Macho.
(Nilisikia sikia kwamba ipo chini ya Baclays bank ili kuboost mtaji nk).
Wewe CRDB tena!!? May be ni NMB na NBC ambazo pia serikali ina share! Na ndiyo zenye fixed assets za kutosha!!Local banks za uhakika, ya kwanza ni NMB PLC ikifuatiwa na CRDB.
Mkuu hiyo ipo tu kwenye maandishi... utekelezaji ni zero.Unakumbuka bank ya meridian baada ya kufilisika hadi leo zaidi ya maika 20 watu hawajambulia chochote hela zao ndio zimekwenda na maji..hawa wasubilie 1.5 za Bima nyingine zilizobaki wakeshe na kuomba ili Roho ya Bwana ifanye MiujizaHaki za mteja bank inapo filisiwa
Benki inapokua inafilisiwa, Deposit Insurance Board (DIB) ambayo ipo kwa mujibu wa kifungu cha 36 na 37 cha Sheria Na. 5 ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya mwaka 2006, hufanya utaratibu wa kuwalipa wateja amana zao.
Members wa bodi hiyo ni Gavana wa BOT (Mwenyekiti), Makatibu Wakuu wa Hazina wa Tanzania Bara na Visiwani, na Wajumbe wengine watatu ambao huteuliwa na Waziri wa fedha ambao ni wajuzi na wabobezi k atika masuala ya kibiashara, utaalamu au taaluma na wenye tabia na mwenendo mzuri na uzoefu ktk sekta ya zinazohusiana.
Bodi hutoa malipo ya awali kwa wateja wote ambayo kiwango cha kuanzia huwa Tsh milioni moja na nusu. Hii ni kwa mujibu wa tangazo la Serikali Na. 198 la mwaka 2010.
Kwa wateja ambao kiwango cha amana zao wakati wa ufilisi ni chini ya na hakizidi tshs 1.5m hao watalipwa amana zao zote kulingana na kiasi walichokuwa wameweka.
Kwa wateja ambao kiwango cha amana zao kitakuwa kimezidi 1.5m hawa kwanza watapokea hiyo 1.5m kama malipo ya awali kisha kiasi kilichobakia watalipwa baada ya mali zote za benki kuthaminishwa na kufilisiwa.
Ni wajibu wa yeyote anayeidai benki inayofilisika kuwasilisha maombi ya madai ukiambatanisha ushahidi wa nyaraka kwa hiyo bodi.Ili fedha ziweze kulipwa kutoka kwenye "protected deposit" ya bodi ambayo vyanzo vyake vya fedha hutokana na michango ya kila mwaka kutoka kwenye hayo mabenki nk.
Ikifikia hatua ya liquidation na kuteuliwa kwa mfilisi bodi itachukua au kupokea kiwango kilichozidi kutoka kny assets za benki kilichofidiwa kwa depositors. Hii kiutaalamu tunaiita "subrogation right".
Hivyo kiwango cha 1.5m ni kiwango cha awali na sio kiwango cha mwisho,baada ya kulipwa 1.5m ,unaandika maombi ya madai ukiambatanisha nyaraka zote kwa board ambapo utalipwa pesa zako zote kupitia protected deposits.
Chanzo: Maelezo kutoka Wataalamu wa Fedha/ Uchumi
SIGNATUREReport
Like
mhh NBC..kila siku network ipo downAcha uongo NBC iko vizuri.
hapana monetary issue au performance ya bank haiwez kusababishwa na udini...ila mmekariri vitu visivyokuwa na msingiMkuu mbona povu kwa mbali.?
Huna Lolote.Standard Charter nayo haijui saa wala dk atakapo kuja mwana wa Adam kumnyakua.....
Mm hela zangu zote nimeziingiza kwenye miradi, hela niyo baki nayo ni ya kula na kununua vocha....
Kama unajiweza kuepuka na kuweka hela beki kiasi kikubwa halafu mwisho wa siku uambiwe ukachukue milion moja na laki tano bora ukafungue a/c nje ya nchi
Bank iliyo salama ni NMB
Tanzania Postal Bank je?Mbali na CRDB na NMB sina imani na bank zingine kabisa.
Bado siiamini pia.Tanzania Postal Bank je?