kwahyo kufilisi benki nzima ndio usalama sio? afadhali uje geto uniibie....tutakabana ukinishinda ndo unachukua, sio huko benki nataifishwa milioni zangu na wa kugombana nae hayupo!
Shikamoo mchumi
Je hauoni kuwa kuweka hela ndani kunaindolea usalama wa pesa zako?