Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Heri ya Mwaka mpya wanaJF
Katika kipindi cha kesho: Mada ni majumuisho ya matukio muhimu ya kisiasa katika mwaka 2010. Tutagusia kuhusu Mageuzi ya Kisiasa Nchini, Nafasi ya Akinamama katika mabadilio, Jukumu la wanahabari na bila shaka Katiba kwa Uchache sana...Maana kazi ilipofikia inahitaji subira na hekima pia.
Ninapendekeza LIVE TEXT fupi tu katika namba 0717 000 013. na zitasomwa LIVE.
Naomba kuwasilisha.
Yahya M
Katika kipindi cha kesho: Mada ni majumuisho ya matukio muhimu ya kisiasa katika mwaka 2010. Tutagusia kuhusu Mageuzi ya Kisiasa Nchini, Nafasi ya Akinamama katika mabadilio, Jukumu la wanahabari na bila shaka Katiba kwa Uchache sana...Maana kazi ilipofikia inahitaji subira na hekima pia.
Ninapendekeza LIVE TEXT fupi tu katika namba 0717 000 013. na zitasomwa LIVE.
Naomba kuwasilisha.
Yahya M