nentewene
Senior Member
- Jun 9, 2017
- 144
- 94
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.