Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna michezo ipo mingi hapa Tanzania, kama kukimbia, kuogelea, mpira wa mikono nk ila mpira wa miguu unapendwa sana.
Kumekuwa na hizi timu za watani wa jadi ambazo hucheza mpira wa miguu yaani Simba na Yanga basi mchezo huu unapendwa sana na watanzania wengi.
Kama kuna kitu nimekiona watu wengi wameweka mapenzi yao kwa mpira zaidi ndio maana nikasema "kama tungempenda Mungu kama tunavyoipenda timu ya mpira ya Simba na Yanga tungefika mbali".
Huu mchezo wa hawa watani wa jadi Simba na Yanga Kuna nguvu za Miungu ndani yake sio bure.
Watu wameweka mioyo yao yote kwa timu hii na ni kama wanaziabudu vile, yaani hizi timu zimekuwa kama ni Miungu kwa watanzania walio wengi.
Siku mpira ukichezwa huu wa hawa watani wa Jadi kuanzia mamlka za juu za nchi za Tz mpaka kwa watanzania mmoja mmoja kunakuwa na hali ya kuzitukuza..
Watu wanagombana sana hasa timu hizi zikishapata matokeo, watu wanakosa maelewano kisa utani wa timu hizi.
Utani huu ambao watu wanauona ni wa kawaida ila imepelekea watu pabaya.
Wengine wanakosa na furaha hata kufanya kazi zao wanashindwa kisa huu mpira kwa miungu Simba na Yanga.
Kuna watu wanapoteza maisha pia kwasababu ya mapenzi kwa hizi timu mbili za watani wa jadi Simba na Yanga.
Kumekuwa na nguvu za giza pia ambazo zimekuwa zikitumika katika timu hizi, ili waweze kushinda michezo yao.
Si hivyo tu hizi timu zikichezwa kuna ndoa nazo hazielewani siku hiyo maana kuna nguvu za giza zinazotokana na mapenzi ya Miungu Simba na Yanga.
Achana na hayo kuna wanaopigana mpaka kuumizana kisa Miungu ya Simba na Yanga si bure kuna nguvu za giza.
Kuna nguvu kubwa na giza ya Miungu katika hizi timu, watu wawe makini.
Pia wawe na kiasi katika kupenda.
Maana Mungu wetu ni mwenye wivu, amesema mwenyewe katika neno lake.
Pia katika zake amesema kuwa Mimi ni bwana Mungu wako usiwe na miungu mingine ila mimi.
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna michezo ipo mingi hapa Tanzania, kama kukimbia, kuogelea, mpira wa mikono nk ila mpira wa miguu unapendwa sana.
Kumekuwa na hizi timu za watani wa jadi ambazo hucheza mpira wa miguu yaani Simba na Yanga basi mchezo huu unapendwa sana na watanzania wengi.
Kama kuna kitu nimekiona watu wengi wameweka mapenzi yao kwa mpira zaidi ndio maana nikasema "kama tungempenda Mungu kama tunavyoipenda timu ya mpira ya Simba na Yanga tungefika mbali".
Huu mchezo wa hawa watani wa jadi Simba na Yanga Kuna nguvu za Miungu ndani yake sio bure.
Watu wameweka mioyo yao yote kwa timu hii na ni kama wanaziabudu vile, yaani hizi timu zimekuwa kama ni Miungu kwa watanzania walio wengi.
Siku mpira ukichezwa huu wa hawa watani wa Jadi kuanzia mamlka za juu za nchi za Tz mpaka kwa watanzania mmoja mmoja kunakuwa na hali ya kuzitukuza..
Watu wanagombana sana hasa timu hizi zikishapata matokeo, watu wanakosa maelewano kisa utani wa timu hizi.
Utani huu ambao watu wanauona ni wa kawaida ila imepelekea watu pabaya.
Wengine wanakosa na furaha hata kufanya kazi zao wanashindwa kisa huu mpira kwa miungu Simba na Yanga.
Kuna watu wanapoteza maisha pia kwasababu ya mapenzi kwa hizi timu mbili za watani wa jadi Simba na Yanga.
Kumekuwa na nguvu za giza pia ambazo zimekuwa zikitumika katika timu hizi, ili waweze kushinda michezo yao.
Si hivyo tu hizi timu zikichezwa kuna ndoa nazo hazielewani siku hiyo maana kuna nguvu za giza zinazotokana na mapenzi ya Miungu Simba na Yanga.
Achana na hayo kuna wanaopigana mpaka kuumizana kisa Miungu ya Simba na Yanga si bure kuna nguvu za giza.
Kuna nguvu kubwa na giza ya Miungu katika hizi timu, watu wawe makini.
Pia wawe na kiasi katika kupenda.
Maana Mungu wetu ni mwenye wivu, amesema mwenyewe katika neno lake.
Pia katika zake amesema kuwa Mimi ni bwana Mungu wako usiwe na miungu mingine ila mimi.