Tunga sentensi kwa kutumia msemo "LIWALO NA LIWE"

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
70,957
93,938
"Liwalo na liwe" ni kamsemo nimekapata kutokea mjengoni, na nimeanza kuona kana effect kweli...jamani hebu tujaribu kukatungia sentensi kama ilivyokua kwenye somo la kiswahili
 
"liwalo na liwe" alimalizia kusema yule mnyama mwenye sura nzito!
 
Nahs kma sina kipaj cha mapenz,liwalo na liwe lazma nmpate nanili hata km kujiunga freemaso
 
Back
Top Bottom