Haya ni mambo ya kijinga sana yanayonyemelea taifa letu tusipokuwa makini watanzania tutaumizana kwa vitu ambavyo hata mtoto wa darasa la saba wa shule zetu hizi mpya za "K" anaweza kutolea maamuzi. Tunawasomi wamepewa dhamana ya uongozi wanashindwa kutoa uamuzi na kuwajulisha watanzania kuchinja ni jukumu la nani katika nchi hii. sioni tatizo wakati wa mheshiwa raisi mwinyi alisema "ruksa kwa kila mtu kuamua nini ale na nini asile" kuhusu kuchinja ndo tunapata kigugumizi kweli? Ajabu sana kwani miaka yote walikuwa wakichinja akina nani mpaka leo iwe ni shida kuendelea kuchinja waliokuwa wakichinja siku zote hizi toka tupate uhuru?
Ukiwasikia waislamu wanavyomwaga dharau ktk suala hili la uchinjaji huwezi kuleta hoja kama hii. Hebu endelea kupitia thread hii ujionee.