Sosi yako kiboko!
Kufanya kosa siyo kosa bali kosa ni kurudia kosa.
Serikali na Ikulu wameshaona madhara ya kuingilia sheria kwa kulazimisha hukumu dhidi ya viongozi wa upinzani. Na sasa hawawezi kurudia ya Arusha kwani yana wagharimu sana CCm hadi sasa na uamuzi wao mbovu utaendelea kuwagharimu. HAWAKUTEGEMEA KUWA YATATOKEA YOTE YALE NDANI YA CHAMA NA NJE YA CHAMA.
Hivyo kesi zote zilizobaki hukumu ya haki itapatikana.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!