Ibn Ayoub
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,236
- 3,074
Hahaa eti Mr Haambiliki umenikumbusha kipindi cha zidumu fikira za bashiteHajaanza leo, ni tangu akiwa waziri. Kwahiyo inabidi tumzoee, Mr. Haambiliki.
Hahaa eti Mr Haambiliki umenikumbusha kipindi cha zidumu fikira za bashiteHajaanza leo, ni tangu akiwa waziri. Kwahiyo inabidi tumzoee, Mr. Haambiliki.
Siyo tu u waziri hata alipokuwa mwalimu ngesemera akiwa zamu akikuta watoto watapiga kelele aliwapeleka staffroom mbele na kuwapigisha magoti akija hmaster akawarudisha darasani na yeye akirudi asiwakute alikuwa anapiga kazi kwa week mbili mpk mkuu aende kumbembelezaHajaanza leo, ni tangu akiwa waziri. Kwahiyo inabidi tumzoee, Mr. Haambiliki.
Kuwa na nia njema ni jambo moja ila njia ya kufikia malengo ya nia njema ni muhimu sana.
Hakuna uwezekano katika maisha kutumia mbinu mbaya kufanikisha jambo jema. Hivi mtu akivunja benki na kuiba pesa kwa nia ya kuwasomesha watoto yatima na kuwatibisha wagonjwa atafungwa?
Bashite alikuwa na nia njema ya kupambana na madawa ya kulevya ila alitumia njia mbaya ya kuvunja sheria kwa hiyo hakufaulu. JPM ametumia pia njia mbaya, angefuata sheria kufuta mikataba iliyosainiwa na serikali ya ccm angefanikiwa sana katika lengo lake zuri alilonalo.
Jimbo lake Wananchi wanakufa yeye Yupo Mahakama ya Kisutu Kila siku.Haya haya haya... Commenting Machinery mnaitwa huku...
MOTOCHINI
Troll JF
Barbarosa
Simiyu Yetu
jingalao
cocochanel
Mudawote
Duh! Level zako ni kwenye punyeto & chit chat , haya mengine yatakuwa ni hatari kwa ubongo wako..
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameibuka na kuishauri serikali jambo la kufanya kutokana na matokeo ya uchunguzi wa mchanga wa madini uliofanywa na kamati ilyoundwa na Rais John Magufuli.
Tundu Lissu
Tundu Lissu anasema Tanzania ni mwanachama wa 'The MIGA Convention' hivyo ukiwa mwanachama ukachukua mali za wawekezaji wao utapelekwa kwenye mahakama za kimataifa na kwenda kushughulikiwa huko, hivyo Tundu Lissu ametoa ushauri wa namna nzuri ya kushughulika na watu
"Sisi Tanzania ni wanachama wa kitu kinaitwa 'The MIGA Convention' Multilateral Investment Guarantee Agency ya benki ya dunia, ukiwa mwanachama wawekezaji wakileta mali zao kwako, ukichukua mali zao kama walivyochukuliwa mali zao namna hii utapelekwa kwenye mahakama zao za kimataifa unaenda kushughulikiwa huko, tumesaini mkataba wa ulinzi wa wawekezaji na mataifa wanayotoka wawekezaji hao Marekani, Canada, Uingereza wote ni mabosi wakubwa makampuni ambayo Rais ameyakamatia mali zao yanatoka kwenye hizi nchi tuna 'bilateral investment treaties ambazo zinalinda mikataba hii" alisema Tundu Lissu
Makontena ya mchanga wenye madini yaliyozuiliwa bandarini
Tundu Lissu anasema hili suala tusipokuwa makini nalo linaweza kuleta matatizo makubwa huku akimtaja muhusika wa mikataba iliyolifikisha taifa katika hasara iliyobainika katika uchunguzi huo.
"Rais anajiingiza kwenye mgogoro mkubwa, akimkamata Dalali Kafumu peke yake, tutamwambia kwanini siyo Gray Mwakalukwa mikataba yote hii imeingia wakati wa Mr. Gray Mwakalukwa, kwanini siyo Daniel Yona, kwanini siyo Jakaya Kikwete sababu alikuwa Waziri na mimi nina mkataba wa Bulyankulu na kwanini siyo mawaziri wote, kwa sababu mikataba iliingiwa wakiwa mawaziri" alisema Tundu Lissu
Rais Magufuli akipokea ripoti ya kamati
Lakini mbali na kusema yote hayo Tundu Lissu alitoa ushauri wake katika suala hilo...
"Kama unataka kufanya haya unayoyafanya elewa hali halisi ilivyo, tatizo liko wapi kama tatizo ni kwamba tunapata mapato kidogo na kweli wanatupiga kweli kweli ila kama utaka kufanya mambo kweli kweli kajiondoe kwanza MIGA ili hao wawekezaji wasikushtaki kwenye hizo mahakama za huko, maana wakikushtaki kule unanyolewa bila maji, hakuna ndege ya Tanzania itakanyaga hizo nchi wataikamata, hakuna hela tutaweka kwenye nanii za kimataifa watazikamata, kwa sababu tunavunja mikataba ya kimataifa inayolindwa na sheria za kiwekezaji za kimataifa, kwa hiyo anzia huko juu ukimaliza mikataba ya kimataifa, njoo kwenye mikataba kati ya nchi na nchi ondoa hiyo mikataba ukishaondoa hiyo hushtakiki nje, baada ya hapo njoo ndani sababu bado unaweza kushtakiwa ndani" alisisitiza Tundu Lissu
kutowa ushauri siyo jambo baya lakiniWhat is Lissu! Utuambie kama siyo michezo ya paka na panya ya kucheza na polisi, Lissu aliwahi kukamilisha kitu gani chenye hadhi ya kitaifa! Hutapaswi kupoteza muda na Lissu & Co.
hapana ni ushauri tu kwani kuna ubaya i think its ok there is no problem bro just an opinionTundu lisu ni tobo haelewi lolote. Akina prof kabudi wameshaliona na kumshauri vyema jpm. Halafu anapaswa kujua kuwa kudeclare kiasi tofauti kilichomo ndani ya mchanga ni kuvunja mkataba automatically. Mi niliwaambia tundu lisu ni mweupe Wa Sheri anashindaga vi case vya kitoto sana.
Hata hili anatetea wezi mana ingekuwa yeye angeshindwa mchana kweupe mana anaona maluweluwe. Kilaza.