Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
Kaka t.lissu kuwa makini ni v2 hiv,kulishwa sumu,kutekwa then mabwepande,kupigwa risas then wakasema walikufananisha na jambaz sugu/gar lako lilifanana na ambalo lilihisiwa kufanyia tukio uharifu na bila kusahau tindikali''take care bro
Kweli ccm imefaulu... yaani watanzania tumefikia hatua hii, tumekuwa waoga kiasi hiki hadi tunaogopa kusema ukweli!! Mtu akisema ukweli, wengine wanamtisha na mabwepande! What a bunch of pathetic people we have become!!