Ukweli tumechoka na siasa za cdm hasa za viongozi wake kwa kutoa matamko ya kusingizia watu..mi tindu lisu katika hili la majaji nakushauri kama kweli unajiamini na ukweli ulio nao si uwataje hao majiji badala ya kueneza uwongo umbea uliokithiri mbele ya wananchi....
Wakuu! Vilaza wa Magamba wako wengi. Huyu nae akili yake sijui haina akili. Yaani hotuba zote za Mh. Lisu T. Hujawahi kusikia wala kusoma Majaji vilaza alio wataja? Hadi wengine kwa aibu wapo hapa Open University DSM ndio wanasoma Digrii ya kwanza.
Kwa kukusaidia, mpigie simu baba Mwanaasha atakujuza walio tajwa.