Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,136
- 41,733
Hizo tenda zimefanyika kwenye ubora au wamezingua.?Bladifaken bastard boy! there was no tendering as per government procurement law. No proper process of procurement was followed!
Hizo tenda zimefanyika kwenye ubora au wamezingua.?Bladifaken bastard boy! there was no tendering as per government procurement law. No proper process of procurement was followed!
Tumsifu Yesu kristo... Milele AminaNiliwambia zamani CDM,
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
Ila sidhani kama ni mwehu kuliko huyo aliyw amua kuuza nchi kwa waarabuMwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Chadema wote hawajawahi kuwa na akiliHahahaaa!Unafiki ni kipaji chao.View attachment 2701543View attachment 2701545
wewe hujamwelewa Lisu. Lisu is very objective, ukweli anausema kama ulivyo na uongo anausema kama ulivyo. Mimi Magufuli nilikuwa namuunga mkono at the beggining (ingawa mimi by nature ni mpinzani maana upinzani unainyoosha serikali iliyo mdarakani kwenye democratic countries). Alipoanza kukiuka haki za binadamu grossly, kuua watu..where is Ben, where is azory, sandarusi za maiti coco beach , kufilisi watu, kuunda watu wasiojulikana ! kuua bunge, mahakama, kuvunja katiba, sheria etc etc Nathamini uhai....etc etc etc, sikumpenda katu. Whatever good he didi goes down the trench!Tangu Nchi kupata uhuru watu wamekuwa waliuwawa na tunakemea mabaya hayo,
003, wachimbaji walifukiwa, Lisu alitoka kukemea, akakimbilia ughaibuni!!
004, Mwangosi alienda, Dk ulimboka alipoteza meno yake Kwa praiz!!
005, Lissu alinusurika na tulimwombea uhai ukamrudia!!
005 ya second half, Ngorongoro wamekufa maasai, Tanga waliokotwa kwenye viroba mtoni, mapadre kadhaa wameripotiwa kuuwawa nk nk!!
Tuungane na Lisu kufanya maridhiano ya KITAIFA kukiri UZALENDO wa Magu ktk kulinda raslimali za Nchi.
Tanzania ni yetu sote ndugu Retired🙏
Kama Lissu ameamua twende huko, ni Kwa Nia njema🙏🙏.
mimi nina wtu kama 150 ambao nimewablock, maana ni useless kubishana nao hapa JF
Mama gani anauza mali za wanae?Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Lugha alotumia Lissu ni 'figurative.'Niliwambia zamani CDM,
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
Yuko sahihi#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
Taahira kweli ww Kama aliua watu kwann hukumpeleka mahakamani? Ata Yesu alisingiziwa mambo ambayo hakuyajua wala kuyafanya na hao mafarisayo na masadukayowewe hujamwelewa Lisu. Lisu is very objective, ukweli anausema kama ulivyo na uongo anausema kama ulivyo. Mimi Magufuli nilikuwa namuunga mkono at the beggining (ingawa mimi by nature ni mpinzani maana upinzani unainyoosha serikali iliyo mdarakani kwenye democratic countries). Alipoanza kukiuka haki za binadamu grossly, kuua watu..where is Ben, where is azory, sandarusi za maiti coco beach , kufilisi watu, kuunda watu wasiojulikana ! kuua bunge, mahakama, kuvunja katiba, sheria etc etc Nathamini uhai....etc etc etc, sikumpenda katu. Whatever good he didi goes down the trench!
Taahira mama yako aliyekubali nizae naye akuzae weweTaahira kweli ww Kama aliua watu kwann hukumpeleka mahakamani? Ata Yesu alisingiziwa mambo ambayo hakuyajua wala kuyafanya na hao mafarisayo na masadukayo
Endelea kuzunguka mbuyu muda si mrefu utanyoosha Tu maelezo JPM ilikuwa mpango wa Munguexactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
wa wauaji kama nyinyiEndelea kuzunguka mbuyu muda si mrefu utanyoosha Tu maelezo JPM ilikuwa mpango wa Mungu
Endelea kuzunguka mbuyu muda si mrefu utanyoosha Tu maelezo JPM ilikuwa mpango wa Munguexactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
Mwehu kama wewe muuajiMwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Kwahiyo 2025 unasemaje twende na nani samia au lissu?Magufuli alikua ni sawa na MAJI.
Kuna namna tu utayatumia !!.
Niliandika humu, Mwaka 2025, ili Wananchi wakukubali ni LAZIMA ULITUMIE VEMA JINA LA MAGUFULI.
Wewe ni kichaa, uko na mtindio wa ubongo! Mpumbavu mmoja hivi, weekend njemaWewe ni mpuuzi kuliko chiba.
Upuuzi mtupu.Wewe ni kichaa, uko na mtindio wa ubongo! Mpumbavu mmoja hivi, weekend njema