King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,269
- 1,860
Niliwaambia lissu bado njaa Kali, chawa zake mkanivaaa, oneni sasa posho zake zote keshalipwa na dk Samia, lkn hatosheki analalama kazulumiwa.
Na ndiyo maana alitaka Chato iwe mkoa japo haikidhi vigezoHata Magu uliyekua una muita mtetezi wa wanyonge naye alikua kimslahi pia.
Tundu Lisu is a coward master., atakuja siku mbili tatu halafu atasema kaitwa na madktari wake ubeligiji, apo tena ndio kwisha atakuja kwa kugombea urais 2025 na chadema ikikosa urais atarudi tena belgium, kumbukeni Lisu ana stahiki zote sasa akiamua kubaki belgium kama raia., shavu dodo ..,Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema atawasili nchini Tanzania Jumatano 25 01 2023 saa 13:35 mchana na baada ya mapokezi ataenda Moja kwa Moja kuhutubia Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama chake, hakuna kulala
Tundu Lissu amesema ameshalipwa na Serikali baadhi ya madai yake lakin Bunge bado halijamlipa kiinua mgongo kinachozidi tsh 100 million na bado hajarudishiwa gharama za matibabu anazostahili kisheria
Tundu Antipas Lissu amewaalika Wananchi Wote kwenye huo Mkutano mkubwa wa hadhara
Source: Voice of America VoA
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema atawasili nchini Tanzania Jumatano 25 01 2023 saa 13:35 mchana na baada ya mapokezi ataenda Moja kwa Moja kuhutubia Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama chake, hakuna kulala
Tundu Lissu amesema ameshalipwa na Serikali baadhi ya madai yake lakin Bunge bado halijamlipa kiinua mgongo kinachozidi tsh 100 million na bado hajarudishiwa gharama za matibabu anazostahili kisheria
Tundu Antipas Lissu amewaalika Wananchi Wote kwenye huo Mkutano mkubwa wa hadhara
Source: Voice of America VoA
Acha aje awapige spana akili ziwakae sawa
Hapa kuna watu wanatamani hata ndege iahirishe safari,maana huyu jamaa ni Game changer,tutaanza kuyasikia ambayo tulikuwa hatuyajui na maneno yake ya kukera hivi,kama alivyoanzisha ule msamiati wa dikteta uchwara
Karibu Sana Tanzania Tundu Antipas Mgwai Lissu, mzalendo na mpigania rasrimali za nchi hii.
Nchi itasimama kwa muda kushuhudia mapokezi yake
Atamdai aliyekuwa NaibuMwambie yule aliezuia hicho kiinua mgongo chake kwa sasa hazipo sawa sasa sijui ataenda mdai nani
Kila nikikumbuka ujio wa mwili wa Ruge sipati picha ujio wa huyu aliye hai huko mabarabaraniNa siku anakuja tutaahakikisha kuna zoezi linaendelea kiserikali ili kupooza ujue wake
Una maana hata wale wanasiasa wa upande mwingine nao ni hivyo hivyo tu ??! Kigwa alishasema kwanza Tumbo lake lijae ndio mengine yatafuata !!Halafu kuna wajinga wanaamini mwanasiasa anatetea masilahi ya wananchi!
Nimesema "wanasiasa" bila kujali upande wao.Una maana hata wale wanasiasa wa upande mwingine nao ni hivyo hivyo tu ??! Kigwa alishasema kwanza Tumbo lake lijae ndio mengine yatafuata !!
Wanasiasa wa kisasa yes wapo hivyo ulivyobainisha !!Nimesema "wanasiasa" bila kujali upande wao.
History speaks itself! Unadhani hakurubuniwa na Jiwe kumpa cheo? Alirubuniwa sana kama akina Mbowe, Sugu and many other CDM officials. Mjinga ni wewe ambaye huwezi kuchanganua mambo. Definitely, akifanya kazi nzuri lazima ale vizuri, avae vizuri, aendesshe gari nzuri and other amenities of life1 sasa unategemea asitake hela? One should be rewarded for his labour!Halafu kuna wajinga wanaamini mwanasiasa anatetea masilahi ya wananchi!
Sasa ulitaka awaze mademu kama wewe!Anawaza Hela tu
Nakubaliana na weee kwa hili. Kuna vitu lazima tuvishabikie kwa maslahi ya kuponya Taifa.Lisu ni zaidi ya Ufipa st ujue
Anarudi na aliyemwoa watoto wake hawanandoa nayeyeLisu Mchumia tumbo hv anarudi na Watoto wake au Wanabaki huko huko Ulaya.
Mnaopigwa spana ni nyinyi mabongo lala mnaokwenda kumshabikia mtu ambae,lengo lake ni kupata mafao yake kupitia vitisho kwenye umati wa wapumbavu kama wewe!Acha aje awapige spana akili ziwakae sawa
Hapa kuna watu wanatamani hata ndege iahirishe safari,maana huyu jamaa ni Game changer,tutaanza kuyasikia ambayo tulikuwa hatuyajui na maneno yake ya kukera hivi,kama alivyoanzisha ule msamiati wa dikteta uchwara
Mbonà wewe baba yako alikuwa shoga wa jiweAnarudi na aliyemwoa watoto wake hawanandoa nayeye