NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
hatimaye timu yakamilika.....sasa bunge la jamhuri laletewa ladha ya kuangalika
data?
hatimaye timu yakamilika.....sasa bunge la jamhuri laletewa ladha ya kuangalika
Tupe Dada bwana..hatimaye timu yakamilika.....sasa bunge la jamhuri laletewa ladha ya kuangalika
Tume ya Uchaguzi imemtangaza rasmi Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA
Namshukuru mungu karibu wabunge wote niliotaka waende Bungeni wamepita isipokuwa tu Mwanasheria Tambwe Shitambalaa wa Mbeya-Vijijini;huyu namjua vyema na kama angeingia mjengoni maslahi ya Taifa yangeimarika zaidi!
Singida Mashariki
TUNDU LISSU - CHADEMA 13,777
JONATHAN NJAU - CCM 12,170.