Aisee nialikwe kwenye sherehe hiyo maana mie ni infidelity origino
nialike na mimi nimwone atakavyovua hizo nguo
Nina maalizia kwa kusema Amen.Tundu Lissu ni IRON-MAN!...
Mungu saidia habari hizi ziwe na chembechembe za ukweli!
Mjengoni patachimbika..Dr amepata mrithi wa ukweli!Habari nilizozipata kwa njia ya simu toka kwa mtu wangu huko singida ambaye anafuatilia kwa karibu matokeo ni kwa Tundu Lisu amepeta naye Misanga wa CCM singida kusini chali, mgombea wa kusini kupitia chadema sijapata jina lake