Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na CHADEMA hawana Ilani?

Ilani ya ccm au chauma unaijua?
Watu Hawana muda na ilani watu wanataka kumsikia mgombea anajua kiasi gani watu wanaitaji mabadiliko
Watu wanataka kuelezwa Kwanza unefanya Nini miaka mitano iliyopitauwe Raisi , mbunge au diwani.

Chadema wabunge na madiwani ukiwauliza miaka mitano waliyokaa wamefanya Nini wanakuwa wakali Kama pilipili hawataki kuulizwaa kwa kuwa Hakuna walichofanya

Hayo mabadiliko Chadema mumeimba toka kipindi Cha Lowasa na wimbo wenu Lowasa mabadiliko ,mabadiliko Lowasa!!!

Mkapewa wabunge na madiwani kibao Leo ukiwauliza tupeni ripoti ya mabadiliko mliyofanya toka mshike hawataki kutoa na uchaguzi huu wanakuja na porojo zile zike za Lowasa za mabadiliko ila safari wanebadilisha kiongozi wa kwaya wamemuweka Lisu kuimbisha wimbo ule ule wa kitapeli ulioingiza madiwani na wabunge wa Chadema ambao hawana mabadiliko yeyote wamefanya na hawataki kuulizwaa
!!!

Wanataka kutumia wimbo ule ule kutapelia Kuingia bungeni Tena na Lisu anauimbisha kwa Mori Baada ya kupokea u kiongozi wa kwaya kwa Lowasa
 
Mpaka hapo Nani unamuona anaakili kama za paka? Kama sio ww

Yan ww na akili zako kabisa unaamini wazungu wanaweza kumtuma mtu Tanzania?

Wakati hata hiyo internet unayotumia ni Yao hahaha si wanazima tu server zao basi hupati kitu
We unamjua Robert Amstardam?
 
Watu wanataka kuelezwa Kwanza unefanya Nini miaka mitano iliyopitauwe Raisi , mbunge au diwani.

Chadema wabunge na madiwani ukiwauliza miaka mitano waliyokaa wamefanya Nini wanakuwa wakali Kama pilipili hawataki kuulizwaa kwa kuwa Hakuna walichofanya

Hayo mabadiliko Chadema mumeimba toka kipindi Cha Lowasa na wimbo wenu Lowasa mabadiliko ,mabadiliko Lowasa!!!

Mkapewa wabunge na madiwani kibao Leo ukiwauliza tupeni ripoti ya mabadiliko mliyofanya toka mshike hawataki kutoa na uchaguzi huu wanakuja na porojo zile zike za Lowasa za mabadiliko ila safari wanebadilisha kiongozi wa kwaya wamemuweka Lisu kuimbisha wimbo ule ule wa kitapeli ulioingiza madiwani na wabunge wa Chadema ambao hawana mabadiliko yeyote wamefanya na hawataki kuulizwaa
!!!

Wanataka kutumia wimbo ule ule kutapelia Kuingia bungeni Tena na Lisu anauimbisha kwa Mori Baada ya kupokea u kiongozi wa kwaya kwa Lowasa

Kauli ya rais alipokuwa njian kutoka masasi nadhan uliielewa vizuri sana
Kuhusu kuwa na mbunge wa kutoka upinzani
 
Tunataka kuona Yale anayo yasema yanatoka kwenye kifungu gani katika ilani yao na sio hadithi tu
Maana kwenye mtandao haipo sasa wengine tutaisoma wapi?
Hata wabunge wa chadema hawana labda wanapewa vipeperushi tu.
Chadema acheni usanii
Ziwekeni hadhalani tuzijadili.
Itafute,humu JF ipo!Usiwe mvivu,kabla ya kuandika huu uzi ungehakikisha una taarifa zote!
 
Habari wana jamvi,

Nimekuwa nikifuatilia mikutano yote ya CHADEMA, mara nyingi wanakuja na hadithi mpya na nyingi zinatungwa na washabiki wao hapa JF kisha mgombea anapanda nazo jukwaani.

Je, Chadema hawana Ilani yao? Nimejaribu kuingia Google lakini nimeona ya mwaka 2015. Je, mpya bado haijachapishwa au bado ipo kwenye vimakaratasi?

Kuna jambo lililetwa na mwana JF hapa kuwa kuna kifungu kwenye katiba yao kinasema kitatungiwa Sheria kwamba endapo mwanamke atalalamika police kuwa mwanaume amefanya mapenzi nae bila ridhaa yake basi atakuwa amebaka.

Tulitaka ufafanuzi wa jambo hilo kwa mgombea, atuambie je huyo mwanaume yeye atakuwa na haki gani ya kujitetea endapo atakuwa amesingiziwa au ananyanyaswa na huyo mwanamke?

Pia, kuna kifungu 84 cha madini ambacho kimeongelewa na ndugu pole pole kuhusu rasilimali madini kuwekwa rehani.

Je mgombea anasemaje juu ya hilo na tunataka kusikia akikisoma kutoka kwenye ilani yake na si majibu ya mtaani.

Pia, Chadema ilani yenu si mkataba kwa wananchi bali ni maneno ya kwenye mitandao ndio ilani yenu?

Tunataka majibu hayo, kwanini hamtembei na ilani yenu kama reference ya mnachoongea na mkitupa ufahamu kuwa hayo yanatokana na kifungu gani kutoka kwenye Ilani yenu ili tuwaamini?

Chadema na mgombea wenu acheni dharau kwa wananchi, toeni ilani ili tujue kilichomo.
Mimi nitampigia kura mgombea wa Chadema yoyote yule hata kama hafai kuwa kiongozi achilia mbali kukosa sera.
 
Itafute,humu JF ipo!Usiwe mvivu,kabla ya kuandika huu uzi ungehakikisha una taarifa zote!
Kwa hiyo wewe kama mshabiki hujui ilani yako inasema nini ila unashangilia tu?Au mpaka mtu mwingine akuwekee hapa?
Wanachadema hawajui hata ilani yao inasema nini,
Ila mnatumia ilani ya JF kwa mawazo ya wachangiaji?
Chadema haina dhamila ya kweli, hata pesa za ilani kuchapisha au kuweka kwenye mtandao mnashindwa au mnajua mapungufu yaliyomo sasa manaogopa kuitoa kwa wananchi maana itapingana na maneno ya mgombea wenu.
 
Ilani ipo tu ila sidhani kwamba ni kwa ajili ya kuombea kura... Na nahisi haikuandikwa ili kuwatandika Jembe na Nyundo.
 
Kwa hiyo wewe kama mshabiki hujui ilani yako inasema nini ila unashangilia tu?Au mpaka mtu mwingine akuwekee hapa?
Wanachadema hawajui hata ilani yao inasema nini,
Ila mnatumia ilani ya JF kwa mawazo ya wachangiaji?
Chadema haina dhamila ya kweli, hata pesa za ilani kuchapisha au kuweka kwenye mtandao mnashindwa au mnajua mapungufu yaliyomo sasa manaogopa kuitoa kwa wananchi maana itapingana na maneno ya mgombea wenu.
Anayosema Lissu yapo kwenye ilani na ilishizinduliwa,kinachofanyika ni kuwapa muhtasari wananchi wa yale yaliyoko kwenye ilani!Kama wewe hujaiona ilani ya CDM,ni ujinga wako!
Pambana na hali yako!
 
Back
Top Bottom