YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,934
Watu wanataka kuelezwa Kwanza unefanya Nini miaka mitano iliyopitauwe Raisi , mbunge au diwani.Ilani ya ccm au chauma unaijua?
Watu Hawana muda na ilani watu wanataka kumsikia mgombea anajua kiasi gani watu wanaitaji mabadiliko
Chadema wabunge na madiwani ukiwauliza miaka mitano waliyokaa wamefanya Nini wanakuwa wakali Kama pilipili hawataki kuulizwaa kwa kuwa Hakuna walichofanya
Hayo mabadiliko Chadema mumeimba toka kipindi Cha Lowasa na wimbo wenu Lowasa mabadiliko ,mabadiliko Lowasa!!!
Mkapewa wabunge na madiwani kibao Leo ukiwauliza tupeni ripoti ya mabadiliko mliyofanya toka mshike hawataki kutoa na uchaguzi huu wanakuja na porojo zile zike za Lowasa za mabadiliko ila safari wanebadilisha kiongozi wa kwaya wamemuweka Lisu kuimbisha wimbo ule ule wa kitapeli ulioingiza madiwani na wabunge wa Chadema ambao hawana mabadiliko yeyote wamefanya na hawataki kuulizwaa
!!!
Wanataka kutumia wimbo ule ule kutapelia Kuingia bungeni Tena na Lisu anauimbisha kwa Mori Baada ya kupokea u kiongozi wa kwaya kwa Lowasa