johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Pale Chadema mtu yoyote anafanya jambo lolote ndio sababu mzee Duni Haji wa ACT Wazalendo aliwaita ni Ukoo wa Kambale wote Wana ndevu.
CCM ni Chama kikubwa chenye Idara na Kurugenzi mbalimbali tofauti kabisa na vyama vingine.
Wengi wanaomkosoa Komredi Makonda hawajui maana ya Mkuu wa Itikadi na Uenezi.
Mezani kwa Makonda ndipo ilipo Ilani ya CCM hivyo Watendaji wote wa Serikali wanawafunika Kwake kisiasa.
Hawa Mawaziri wote Boss wao ni Komredi Makonda na Wakizingua anawaripoti kwenye Sekretarieti ya Chama ambayo inamshauri Mteuzi mkuu Rais wa JMT ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Mlezi wa vyama vya siasa.
Bavicha mmeelewa?
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
CCM ni Chama kikubwa chenye Idara na Kurugenzi mbalimbali tofauti kabisa na vyama vingine.
Wengi wanaomkosoa Komredi Makonda hawajui maana ya Mkuu wa Itikadi na Uenezi.
Mezani kwa Makonda ndipo ilipo Ilani ya CCM hivyo Watendaji wote wa Serikali wanawafunika Kwake kisiasa.
Hawa Mawaziri wote Boss wao ni Komredi Makonda na Wakizingua anawaripoti kwenye Sekretarieti ya Chama ambayo inamshauri Mteuzi mkuu Rais wa JMT ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Mlezi wa vyama vya siasa.
Bavicha mmeelewa?
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀