johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema Machawa yapo kila sehemu hadi ndani ya Chadema na hicho ndio Kinauwa Chama
Lisu ameonekana kukerwa sana na Uwepo wa Chawa Chadema
Chanzo: Jambo TV
Lisu ameonekana kukerwa sana na Uwepo wa Chawa Chadema
Chanzo: Jambo TV