Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Mimi namuunga mkono kabisa!!! NImekuwa nikisubiri kusikia an activist anaingia Bungeni... huyu ni mmojawapo..
uyu jamaa yuko fiti kinoma, tatizo ni kwamba, ccm wanamfahamu vilivyo hivyo watafanya juu chini wahakikishe hafanikiwi kwa kuwalaghai wananchi wa jimbo lake, lakini uyu jamaa hata urais wa tz anafaa sana, kiasi fulani anaonekana kuwa mzalendo na ana machungu na nchi yake.