Tundu Lissu Kiboko ya CCM

Mughwira

Senior Member
Jun 10, 2008
109
34
Kikao cha Kamati Kuu ya CCM imeshindwa kutengua kitendawili cha mtu mwenye sifa ya kusimama na Tundu Lissu Singida Mashariki. Mpaka sasa mgombea wa CCM hajafahamika.

Kusema Lissu anapita bila kupingwa?
 
Washaamua kumuweka Bibi Wema Sepetu na amewezeshwa kila kitu si unajua Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.
 
vyama vingine navyo?
Kikao cha Kamati Kuu ya CCM imeshindwa kutengua kitendawili cha mtu mwenye sifa ya kusimama na Tundu Lissu Singida Mashariki. Mpaka sasa mgombea wa CCM hajafahamika.

Kusema Lissu anapita bila kupingwa?
 
Back
Top Bottom