Tundu Lissu: Hayati Magufuli hausiki kwenye mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za nchi kushikwa na Wageni

Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Huu ndio mtazamo wa watz wengi ambao si waislam.

Mwanzoni nilidhali wale tu ambao hawakuwaji kuonana au kuishi na jamii mchanganyiko zaidi ya wale wa kabila lake, na walikuja kuona misikiti na waislam walipokuja dar kwa mara ya kwanza.

Lkn kwa tamko la mbowe linaonyesha hii ni sehemu ya itikadi wa ndugu zetu hawa wa mkono wa kushoto
 
Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Mnajaribu sana kuharibu ajenda wananchi wanaisadia serikali kurekebisha makosa hakuna mshindi katika hili.mikataba mibovu ndiyo husababisha vita vya ndani pale yanayosemwa yasipotimia..

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Shujaa Magufuli hausiki Kwenye Mikataba ya Hovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za Nchi zishikwe na Wageni

Tundu Lisu anaongea na Waandishi wa Habari

Mungu ni Mwema wakati wote!

Tundu Lissu leo anamwita JPM shujaa, basi shetani anaweza kuwa malaika tena.
 
Pamoja na mabaya yake mengi aliyo kua nayo, lakini ile kauli yake "mta nikumbuka kwa mazuri" hatimae imetimia, Kila siku hawa watawala Wana zidi kutusogeza shimoni siku sio nyingi tutazama kama meli ya Titanic.
 
.....Tanga na bomba la mafuta ktk Uganda ? …...
Duh "wazung"u wabaya kweli!!! Kumbe wanataka kuua ndege Wawili kwa jiwe moja!!!! Wanaua ushindani wa soko la mafuta na usafirishaji kwa pamoja!!! Umenishtua Aisee! Hivi tunaweza kupata orodha ya wanahisa wa hii kampuni?
====
Kuna msemo nilipata nadhani humu ama kwingine, kuwa andika chochote mtandaoni kama utakwenda kujitetea kuhusu ulichoandika mtandaoni Mahakamani!!! Kizuri gawana na wenzako.
 
😂😂😂😂😂 Uzuri alikuwa akiongea na Waandishi wa Habari
Sikatai, lakini ww hushindwi kupotosha. Maana akiongea hivyo lazima kuna namna imemfanya afikie hitimisho hilo. Sasa ww huchomoa mistari miwili, kisha kuitengeneza ili ibebe matamanio yako.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Shujaa Magufuli hausiki Kwenye Mikataba ya Hovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za Nchi zishikwe na Wageni

Tundu Lisu anaongea na Waandishi wa Habari

Mungu ni Mwema wakati wote!
Sasa hapo Cha ajabu Kiko wapi maana hiyo ni sifa ya Wajamaa ndio maana Hali ya uchumi ilikuwa ngumu sana wakati wake..
 
Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?

Ongeza na wakristo wazee wakuu watu hawana huruma na kima
 
Back
Top Bottom