Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 751
- 908
Huu ndio mtazamo wa watz wengi ambao si waislam.Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Mwanzoni nilidhali wale tu ambao hawakuwaji kuonana au kuishi na jamii mchanganyiko zaidi ya wale wa kabila lake, na walikuja kuona misikiti na waislam walipokuja dar kwa mara ya kwanza.
Lkn kwa tamko la mbowe linaonyesha hii ni sehemu ya itikadi wa ndugu zetu hawa wa mkono wa kushoto