Uzuri wa Lissu si Mnafiki. Alipopigwa risasi alimtaja hadharani Magufuli, na kuhusu mazuri yake si mara ya Kwanza anayasema.
..Magufuli alisaini mkataba kusamehe usd 191 billion na kukubali kishika uchumba cha usd 300 million.
..mkataba kati ya Magufuli na Barrick ulikuwa mbaya na kutukandamiza Watanganyika.