Wewe haya maneno unaandikia Ikulu?? imbecileHuna huo ushahidi mezani ni maneno ya mitandaoni na vijiwe vya kahawa
Sasa itakuaje... maana siiwezi kutype Amstadam kwa kidhungu. Ila mkumbushe anapambana na Rais aliyeishinda CORONA dunianiPata nice bundle kama unauwezo type kwenye Youtube search button "Robert Amsterdam" sio Amstadam find out kama anaongea kisukuma otherwise mtu ambaye nimemunyima kura tayari namjua
Alishinda kwa kutumia jia gani??? Hivi mumesahau akatoa direction ili ndege ziende Madagascar kuchukua dawa ya Corona?? Hukumuona yule Waziri wake alikata dawa ya Corona kama gongo wakati imetua nchini?? Sema mnatumia short mermory ndio maana mmekua mateka ya CCM for quite long. Someone who cant even dare to construct a single kidhungu sentence yet is a Phd holder...so pathetic.Saitakuaje... maana siiwezi kutype Amstadam kwa kidhungu. Ila mkumbushe anapambana na rais aliyeishinda CORONA duniani
Unaweza kumtumia na haka kaujumbe hapa chini 😁😁😁😁
View attachment 1612111l
Alishinda kwakutumia jia gani???hivi mumesahau akatoa direction ili ndege ziende Madagascar kuchukua dawa ya Corona??Hukumuona yule Waziri wake alikata dawa ya Corona kama gongo wakati imetua nchini??Sema munatumia short mermory ndio maana mumekua mateka ya ccm for quite long.Someone who cant even dare to construct a single kidhungu sentence yet is a Phd holder...so pathetic.
Basi nikumuombea tu mama Samia awe Rais kwa muda kabla ya iyo tarehe 28Naunga mkono hoja, never on earth Lissu anaweza kushinda!.
P
Umesahau viongozi wako wa chama walivyotimka bungeni😁😁😁 ila chadema matapeli sana, eti wakasubiri hadi posho ikaingia ndio wakakumbuka kuna corona
John Pombe Magufuli unayedai hajui kizungu ndio rais wako hutaki hama Nchi au kuwa rais wewe teheteheee
Kizungu kimekuingizia sh ngapi leo
Mkuu kwenye kutangazwa ndio mtihaniTundu lissu atashinda kwa kura nyingi tu tatizo nani atanyanyua kinywa chake amtangaze?
CCM hawa ni wahuni sana usishangae kukuta vituo hewa vingne huko baharini, hili nalo tusilisahau mlinda kura kachaguliwa na muiba kura.
Nyie Mafisi wa CCM mnawafanya Watz kama mazuzu!!!
Hayo MATUSI ya Lissu ni yepi yaliyo wakasirisha Watz?
TATIZO LA UTAWALA HUU WA KIDIKTETA NI KWAMBA MAGUFULI AKIKOSOLEWA NA UPINZANI ANAONA KATUKANWA MATUSI??
Shame on you CCM g*ys.
Hivi ukigoma kufa kwasababu ya matakwa ya wauaji imekua nongwa tena kwenda kupata medical check up? Kwanza anatumia nauli yake ....kuna kamsemo "uki test nyama ya binadamu huachi"Genge la watu Sita, ndo Wanataka kuwahadaa watanzania never. Mgombea urais wao tayari ashafanya booking ya Klm 18/12 safari. Nenda mwana kwenda kwa Amsterdam wako, tuache tunu zetu.
Umeshakubali aliyekuwepo ni mbovu basi sisi tunampa Tundu Lissu huyo wa kwako akawe rais wa Chato.Lissu atashinda kama wapiga kura ni wa uholanzi na ubelgiji lakini kwa Tanzania hawezi kushinda kwa sababu watanzania hawawezi kuchagua kibaraka hata kama aliyepo ni mbovu
Uchaguzi ni huru haki na usawa kila mtu atimize wajibu wake kwa mujibu sheria kanuni na taratibu au miongozo
you dont need hata hao EU, just listen to himself then mengine fanya clcualtions za election ya 2015 utapata jibu