Tundu Lissu: CCM walivunja kanuni uchaguzi EALA

Anaandika mwanasheria mkuu wa CHADEMA Mh Tundu Lissu!

Wakubwa habari za asubuhi.

I'm still licking my wounds, kama wasemavyo Waingereza.

Pamoja na kwamba vumbi la uchaguzi wa jana bado limetanda, naomba niseme yafuatayo juu ya uzoefu wa hizi siku chache zilizopita.

1) Kuna wanaodai tulikosea kutokuangalia gender balance ndio maana tumeshindwa.

Hapana.

Kosa letu sio kutokuzingatia jinsia. Kosa letu kubwa na lisilosameheka ni kuwa chama kikuu cha upinzani dhidi ya MaCCM. Na tumelifanya kosa hilo tangu mwaka 2010.

Wenzetu wa CUF nao walishawahi kufanya kosa hili kubwa miaka ya nyuma na mnakumbuka yaliyowapata. Na NCCR Mageuzi kabla ya CUF.

2) Kosa letu la pili ni kuwa chama kikuu cha upinzani lakini bila kuwa na nguvu ya kutosha bungeni kuzuia njama za MaCCM ndani na nje ya Bunge.

Ni hivi. Sisi wa UKAWA tupo 116, MaCCM yako 252 na bado wanajiongeza i.e. Salma Kikwete na wengineo watokao Magogoni. Wao wana 70%, sisi tuna 30% ukihesabu kila mtu aliyeko bungeni.

Kwa balance hii hata tukifanyaje tutaonewa tu. Na chochote tutakachopata itakuwa ni kwa fadhila yao.

Kwa sababu ya balance hii, hawahitaji hata kuheshimu sheria na kanuni za Bunge.

Kati ya Jumamosi na jana wamebadilisha sheria na kanuni za uchaguzi kwa namna ambayo inatisha.

In fact, hawakufuata chochote kilichoandikwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Badala yake, walibadilisha kanuni kadri mchezo ulivyokuwa unaendelea na kadri ya mahitaji ya maslahi yao.

Kanuni inavipa vyama vya siasa haki ya kuweka mgombea mmoja hadi watatu kwa kila nafasi inayogombaniwa. Ndivyo tulivyofanya. Machoni pao tulikosea sana.

Kwa practice ya Bunge letu, wagombea wasiokuwa na mpinzani hupita bila kupingwa. Na hii ndio sheria yetu ya uchaguzi hata nje ya Bunge. Jana imebadilishwa.

Wagombea wa CUF walikuwa wanne kwenye nafasi moja wakati kanuni zinasema maximum ni wagombea watatu kwa nafasi moja.

Watatu kati ya hao hawakuwa na fomu za uteuzi zilizosainiwa na Katibu Mkuu wa CUF kama ilivyotakiwa na kanuni. Bali, kwa kauli ya Katibu wa Bunge na Msimamizi wa Uchaguzi, majina yao yalitokea NEC.

NEC inahusikaje na uteuzi wa majina ndani ya vyama, mimi sijaelewa bado.

Kura zilipigwa kwa utaratibu usiokuwepo kwenye kanuni kabisa. Hakuna upigaji wa kura ya ndio au hapana kwenye uchaguzi wa EALA. Lakini wamepigia wagombea wetu au hapana.

Hakuna utaratibu wa wengine wanapigiwa kura ya ndiyo tu lakini wengine wanapigiwa ndio au hapana kwenye karatasi hiyo hiyo moja ya kura. Jana wagombea saba wamepigiwa kura za ndio tu, wawili wamepigiwa ndio au hapana.

Kanuni inasema usipochagua wagombea tisa basi kura yako imeharibika. Jana wamepigia kura wagombea saba tu na hakuna kura yoyote iliyoharibika.

Kanuni inaelekeza kura kuwa ya siri lakini jana usiku hakukuwa na kura yoyote ya siri.

Na mengine mengi.

Yote haya yanatokana na dominance ya MaCCM bungeni. Na juu ya yote haya, ongezea la Msimamizi wa Uchaguzi ambaye anajifanya ni refa wa mchezo huu lakini kiuhalisia ni kocha wa timu ya MaCCM.

Katika mazingira haya, je, watu hawa wataitisha uchaguzi mwingine ili kujaza nafasi mbili za CHADEMA zilizobaki???

Hili ni kwa wale wanaofikiria tukiongeza jina moja au mawili basi shida itakwisha na MaCCM yatatupatia nafasi zetu. Mimi sina jibu lake lakini hisia zangu zinaniambia hii imetoka.

Nitaendelea wakati mwingine.


Maneno meengi na mikwara kibao, kumbe watu wenyewe ni wepesi kama manyoya, ninyi si ndiyo mliokuwa mnasema mnakwenda kumondoa Raisi wa JMTZ kwa kumpigia pmj na Wabunge wa CCM? Sasa iweje tena leo hii mnakuja hapa mkilia lia kama Watoto?
Hivi mtu wa kumuondoa Raisi wa Nchi kwa nguvu huwa analalamika na kulia lia kama Tundu Lisu? Ninyi mmejifanya wajanja na CCM wametawaka kuwaonyesha kwamba wanaijua game zaidi sasa amueni huyo wenu Masha hawezi kuwa Mbunge wa AM kama alipanga na Tundu Lisu ampe Uongozi wa TLS ili yeye apate Ubunge wa AM sasa mtalipana huko huko, bloody fool ...
 
Hizi siasa za chuki wanazoanzisha hazitaacha mtanzania hata mmoja salama!
Hatred will alway hurt both parties because there is no winner!
Nashauri wana-ccm wajitahidi kutofautiana na wapinzani wao kwa hoja!
 
Anaandika mwanasheria mkuu wa CHADEMA Mh Tundu Lissu!

Wakubwa habari za asubuhi.

I'm still licking my wounds, kama wasemavyo Waingereza.

Pamoja na kwamba vumbi la uchaguzi wa jana bado limetanda, naomba niseme yafuatayo juu ya uzoefu wa hizi siku chache zilizopita.

1) Kuna wanaodai tulikosea kutokuangalia gender balance ndio maana tumeshindwa.

Hapana.

Kosa letu sio kutokuzingatia jinsia. Kosa letu kubwa na lisilosameheka ni kuwa chama kikuu cha upinzani dhidi ya MaCCM. Na tumelifanya kosa hilo tangu mwaka 2010.

Wenzetu wa CUF nao walishawahi kufanya kosa hili kubwa miaka ya nyuma na mnakumbuka yaliyowapata. Na NCCR Mageuzi kabla ya CUF.

2) Kosa letu la pili ni kuwa chama kikuu cha upinzani lakini bila kuwa na nguvu ya kutosha bungeni kuzuia njama za MaCCM ndani na nje ya Bunge.

Ni hivi. Sisi wa UKAWA tupo 116, MaCCM yako 252 na bado wanajiongeza i.e. Salma Kikwete na wengineo watokao Magogoni. Wao wana 70%, sisi tuna 30% ukihesabu kila mtu aliyeko bungeni.

Kwa balance hii hata tukifanyaje tutaonewa tu. Na chochote tutakachopata itakuwa ni kwa fadhila yao.

Kwa sababu ya balance hii, hawahitaji hata kuheshimu sheria na kanuni za Bunge.

Kati ya Jumamosi na jana wamebadilisha sheria na kanuni za uchaguzi kwa namna ambayo inatisha.

In fact, hawakufuata chochote kilichoandikwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Badala yake, walibadilisha kanuni kadri mchezo ulivyokuwa unaendelea na kadri ya mahitaji ya maslahi yao.

Kanuni inavipa vyama vya siasa haki ya kuweka mgombea mmoja hadi watatu kwa kila nafasi inayogombaniwa. Ndivyo tulivyofanya. Machoni pao tulikosea sana.

Kwa practice ya Bunge letu, wagombea wasiokuwa na mpinzani hupita bila kupingwa. Na hii ndio sheria yetu ya uchaguzi hata nje ya Bunge. Jana imebadilishwa.

Wagombea wa CUF walikuwa wanne kwenye nafasi moja wakati kanuni zinasema maximum ni wagombea watatu kwa nafasi moja.

Watatu kati ya hao hawakuwa na fomu za uteuzi zilizosainiwa na Katibu Mkuu wa CUF kama ilivyotakiwa na kanuni. Bali, kwa kauli ya Katibu wa Bunge na Msimamizi wa Uchaguzi, majina yao yalitokea NEC.

NEC inahusikaje na uteuzi wa majina ndani ya vyama, mimi sijaelewa bado.

Kura zilipigwa kwa utaratibu usiokuwepo kwenye kanuni kabisa. Hakuna upigaji wa kura ya ndio au hapana kwenye uchaguzi wa EALA. Lakini wamepigia wagombea wetu au hapana.

Hakuna utaratibu wa wengine wanapigiwa kura ya ndiyo tu lakini wengine wanapigiwa ndio au hapana kwenye karatasi hiyo hiyo moja ya kura. Jana wagombea saba wamepigiwa kura za ndio tu, wawili wamepigiwa ndio au hapana.

Kanuni inasema usipochagua wagombea tisa basi kura yako imeharibika. Jana wamepigia kura wagombea saba tu na hakuna kura yoyote iliyoharibika.

Kanuni inaelekeza kura kuwa ya siri lakini jana usiku hakukuwa na kura yoyote ya siri.

Na mengine mengi.

Yote haya yanatokana na dominance ya MaCCM bungeni. Na juu ya yote haya, ongezea la Msimamizi wa Uchaguzi ambaye anajifanya ni refa wa mchezo huu lakini kiuhalisia ni kocha wa timu ya MaCCM.

Katika mazingira haya, je, watu hawa wataitisha uchaguzi mwingine ili kujaza nafasi mbili za CHADEMA zilizobaki???

Hili ni kwa wale wanaofikiria tukiongeza jina moja au mawili basi shida itakwisha na MaCCM yatatupatia nafasi zetu. Mimi sina jibu lake lakini hisia zangu zinaniambia hii imetoka.

Nitaendelea wakati mwingine.
Kama kuna Ma CCM basi pia kuna TuChadema.
 
Ni aibu sana kwa the 'finest lawyer' kulalamika na kulia mitandaoni.
Wamevurunda wanakuja kuwalisha matango pori wafuasi wao wa mitandaoni ambao wana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
Haiingii akilini kwa chama kinachojiita cha kidemokrasia kuleta watu wapite bila ya kupingwa
Pumbaf wewe...kwani demokrasia ni lazima kupingwa? Umesomea shule gani?
Kweli upumbavu ni kipaji!
 
Lisu analia lia tu, busara ndogo tu ingeepusha aibu mliyopata jana, mlishaambiwa muongeze wagombea, kuna ugumu kwa hilo. Hivi CDM nzima hauwezi kupata wagombea mahiri 4, wanaume 2 na wanawake 2. Haya ni matatizo ya kujitakia na bunge limewafundisha maana ya demokrasia, bunge si rubber stamp ya maamuzi yenu.
 
Anaandika mwanasheria mkuu wa CHADEMA Mh Tundu Lissu!

Wakubwa habari za asubuhi.

I'm still licking my wounds, kama wasemavyo Waingereza.

Pamoja na kwamba vumbi la uchaguzi wa jana bado limetanda, naomba niseme yafuatayo juu ya uzoefu wa hizi siku chache zilizopita.

1) Kuna wanaodai tulikosea kutokuangalia gender balance ndio maana tumeshindwa.

Hapana.

Kosa letu sio kutokuzingatia jinsia. Kosa letu kubwa na lisilosameheka ni kuwa chama kikuu cha upinzani dhidi ya MaCCM. Na tumelifanya kosa hilo tangu mwaka 2010.

Wenzetu wa CUF nao walishawahi kufanya kosa hili kubwa miaka ya nyuma na mnakumbuka yaliyowapata. Na NCCR Mageuzi kabla ya CUF.

2) Kosa letu la pili ni kuwa chama kikuu cha upinzani lakini bila kuwa na nguvu ya kutosha bungeni kuzuia njama za MaCCM ndani na nje ya Bunge.

Ni hivi. Sisi wa UKAWA tupo 116, MaCCM yako 252 na bado wanajiongeza i.e. Salma Kikwete na wengineo watokao Magogoni. Wao wana 70%, sisi tuna 30% ukihesabu kila mtu aliyeko bungeni.

Kwa balance hii hata tukifanyaje tutaonewa tu. Na chochote tutakachopata itakuwa ni kwa fadhila yao.

Kwa sababu ya balance hii, hawahitaji hata kuheshimu sheria na kanuni za Bunge.

Kati ya Jumamosi na jana wamebadilisha sheria na kanuni za uchaguzi kwa namna ambayo inatisha.

In fact, hawakufuata chochote kilichoandikwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Badala yake, walibadilisha kanuni kadri mchezo ulivyokuwa unaendelea na kadri ya mahitaji ya maslahi yao.

Kanuni inavipa vyama vya siasa haki ya kuweka mgombea mmoja hadi watatu kwa kila nafasi inayogombaniwa. Ndivyo tulivyofanya. Machoni pao tulikosea sana.

Kwa practice ya Bunge letu, wagombea wasiokuwa na mpinzani hupita bila kupingwa. Na hii ndio sheria yetu ya uchaguzi hata nje ya Bunge. Jana imebadilishwa.

Wagombea wa CUF walikuwa wanne kwenye nafasi moja wakati kanuni zinasema maximum ni wagombea watatu kwa nafasi moja.

Watatu kati ya hao hawakuwa na fomu za uteuzi zilizosainiwa na Katibu Mkuu wa CUF kama ilivyotakiwa na kanuni. Bali, kwa kauli ya Katibu wa Bunge na Msimamizi wa Uchaguzi, majina yao yalitokea NEC.

NEC inahusikaje na uteuzi wa majina ndani ya vyama, mimi sijaelewa bado.

Kura zilipigwa kwa utaratibu usiokuwepo kwenye kanuni kabisa. Hakuna upigaji wa kura ya ndio au hapana kwenye uchaguzi wa EALA. Lakini wamepigia wagombea wetu au hapana.

Hakuna utaratibu wa wengine wanapigiwa kura ya ndiyo tu lakini wengine wanapigiwa ndio au hapana kwenye karatasi hiyo hiyo moja ya kura. Jana wagombea saba wamepigiwa kura za ndio tu, wawili wamepigiwa ndio au hapana.

Kanuni inasema usipochagua wagombea tisa basi kura yako imeharibika. Jana wamepigia kura wagombea saba tu na hakuna kura yoyote iliyoharibika.

Kanuni inaelekeza kura kuwa ya siri lakini jana usiku hakukuwa na kura yoyote ya siri.

Na mengine mengi.

Yote haya yanatokana na dominance ya MaCCM bungeni. Na juu ya yote haya, ongezea la Msimamizi wa Uchaguzi ambaye anajifanya ni refa wa mchezo huu lakini kiuhalisia ni kocha wa timu ya MaCCM.

Katika mazingira haya, je, watu hawa wataitisha uchaguzi mwingine ili kujaza nafasi mbili za CHADEMA zilizobaki???

Hili ni kwa wale wanaofikiria tukiongeza jina moja au mawili basi shida itakwisha na MaCCM yatatupatia nafasi zetu. Mimi sina jibu lake lakini hisia zangu zinaniambia hii imetoka.

Nitaendelea wakati mwingine.
Hakuna cha laana wala nini

Chadema wange komaa wapate wabunge wengi yaani waweke mtu Wa kupambana na Juma pumba maharagwe then waconcetrate na wabunge, I am sure nchi itabadilika
Hawa watu laana haitawaacha salama.

Kama inawezekana kubadili kanuni hata hizo nafasi 2 ziende kwao waachieni tu ijulikane moja.

Na la hilo la NEC hata mimi nilipigwa butwaa na kwakweli sikuelewa kabisa liliingiaje katika huo uchaguzi.
 
Ni aibu sana kwa the 'finest lawyer' kulalamika na kulia mitandaoni.
Wamevurunda wanakuja kuwalisha matango pori wafuasi wao wa mitandaoni ambao wana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
Haiingii akilini kwa chama kinachojiita cha kidemokrasia kuleta watu wapite bila ya kupingwa

Ni kweli cdm watakuwa wamekosea kama unavyotaka tuamini. Lakini inakuwaje kwenye uchaguzi wa ubunge/udiwani huwa tunapiga kelele kitendo cha mgombea kupita bila kupingwa anapokosa washindani? Kitendo hiki tumepiga kelele miaka na miaka ili mtu akikosa washindani basi kura ya ndio au hapana ifanyike, lakini kwakuwa wafaidika wa udhaifu huu ni ccm huwa mnatia pamba masikioni. Sitetei cdm kupeleka watu wawili kwa nafasi 2 lakini kwanini iwe ni kwenye uchaguzi tu wa EALA na sio kwenye uchaguzi mwingine? Hili limekaa wazi kwamba ni hila za wazi hata kama yatatolewa maelezo mengi kiasi gani.
 
MaCCM yako tayari Tanzania iwe na wawakilishi wachache kwenye Bunge la Afrika ya Mashariki (wabunge 7) kuliko kuona wawakilishi toka CHADEMA wanaingia kwenye bunge na hivyo kuwa na idadi kubwa ya wabunge tisa.
Na maCHADEMA yako radhi kupitisha kura za bila kupingwa, na yanajiita chama cha demokrasia.
 
Siku Ndugai na Tulia wakihamia CHADEMA watakuwa Malaika.
Siasa za Tanzania ulalamishi na unafiki tu
Hayo ni yakweli kabisa kwani wewe hujui kuwa wale watendao dhambi watakapotubu na kuziacha njia zao ovu Malaika hufurahi na kushangilia hata wewe mwenyewe watakutendea vivyo hivyo ndugu.
 
Wengepigiwa kura za ndio nyingi ungetembelea huu ukursa kusema kuwa vipengele vingi vya sheria vilipigwa? Mh. Tundulisu acha kuwalisha matangopoli watu ambao si wanafamilia wa sheria kiivyo. Ila jiulize nafasi zilikuwa 2 wangechaguliwa 6 na wote wakapigiwa hapana basi tungesema ni figisu za CCM ila chama chako kinapoteza umakini hata kuiga si dhambi. Basi powaa wee endelwa kuwakusanya kwa huu wimbo wa makosa ya kisheria yalisimamiwa na CCM
 
Mimi nashauri kama sheria inataka wabunge wa EALA watoke kila chama chenye sifa na kama hawawezi kuapisha wabunge 7 kutoka nchi moja mpaka watimie 9, basi nashauri CHADEMA wasipeleke majina na waachane na hii issue ili walau wabunge hao waliochaguliwa kwa mbwembwe waendelee kutazama vikao vya bunge hilo kupitia You tube.

Kwa taarifa yako hilo sio tatizo kwa ccm kwani ukisusa wao wala. Nadhani uliona kilichotokea uchaguzi wa Znz baada ya Cuf kususia. Pia uliona kilichotokea ndani ya bunge la katiba baada ya Ukawa kususia. Kitakachofanyika watabadili kanuni, na sidhani kama huko EALA kuna sharti la kuona wawakilishi wa kutoka vyama kwa uwiano wa bunge. Tena kwa taarifa yako saa hii ccm wanaomba tu cdm wasusie. Kwenye hizi nchi zetu za kiafrika walio wengi bungeni huwa wanafanya wapendalo. Kwa ushauri mzuri tu ni kwamba cdm wapeleke idadi zaidi ili ccm wachague kutoka hapo kwani sasa hivi kuna ushindani wa kisiasa usio wa hoja, tija wala wa kanuni zaidi yakutunishiana misuli tu.
 
Ni kweli cdm watakuwa wamekosea kama unavyotaka tuamini. Lakini inakuwaje kwenye uchaguzi wa ubunge/udiwani huwa tunapiga kelele kitendo cha mgombea kupita bila kupingwa anapokosa washindani? Kitendo hiki tumepiga kelele miaka na miaka ili mtu akikosa washindani basi kura ya ndio au hapana ifanyike, lakini kwakuwa wafaidika wa udhaifu huu ni ccm huwa mnatia pamba masikioni. Sitetei cdm kupeleka watu wawili kwa nafasi 2 lakini kwanini iwe ni kwenye uchaguzi tu wa EALA na sio kwenye uchaguzi mwingine? Hili limekaa wazi kwamba ni hila za wazi hata kama yatatolewa maelezo mengi kiasi gani.


Hoja yako angalau, angalau ingekuwa na mshiko kama chadema wangefanya hivyo mara ya kwanza, lkn HAPANA wamepeleka Wagombea wawili wakaambiwa wabadilishe, wakakaidi, sasa iweje wanakuja kulia kuhusu matokeo?
 
Anaandika mwanasheria mkuu wa CHADEMA Mh Tundu Lissu!

Wakubwa habari za asubuhi.

I'm still licking my wounds, kama wasemavyo Waingereza.

Pamoja na kwamba vumbi la uchaguzi wa jana bado limetanda, naomba niseme yafuatayo juu ya uzoefu wa hizi siku chache zilizopita.

1) Kuna wanaodai tulikosea kutokuangalia gender balance ndio maana tumeshindwa.

Hapana.

Kosa letu sio kutokuzingatia jinsia. Kosa letu kubwa na lisilosameheka ni kuwa chama kikuu cha upinzani dhidi ya MaCCM. Na tumelifanya kosa hilo tangu mwaka 2010.

Wenzetu wa CUF nao walishawahi kufanya kosa hili kubwa miaka ya nyuma na mnakumbuka yaliyowapata. Na NCCR Mageuzi kabla ya CUF.

2) Kosa letu la pili ni kuwa chama kikuu cha upinzani lakini bila kuwa na nguvu ya kutosha bungeni kuzuia njama za MaCCM ndani na nje ya Bunge.

Ni hivi. Sisi wa UKAWA tupo 116, MaCCM yako 252 na bado wanajiongeza i.e. Salma Kikwete na wengineo watokao Magogoni. Wao wana 70%, sisi tuna 30% ukihesabu kila mtu aliyeko bungeni.

Kwa balance hii hata tukifanyaje tutaonewa tu. Na chochote tutakachopata itakuwa ni kwa fadhila yao.

Kwa sababu ya balance hii, hawahitaji hata kuheshimu sheria na kanuni za Bunge.

Kati ya Jumamosi na jana wamebadilisha sheria na kanuni za uchaguzi kwa namna ambayo inatisha.

In fact, hawakufuata chochote kilichoandikwa kwenye Kanuni za Uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Badala yake, walibadilisha kanuni kadri mchezo ulivyokuwa unaendelea na kadri ya mahitaji ya maslahi yao.

Kanuni inavipa vyama vya siasa haki ya kuweka mgombea mmoja hadi watatu kwa kila nafasi inayogombaniwa. Ndivyo tulivyofanya. Machoni pao tulikosea sana.

Kwa practice ya Bunge letu, wagombea wasiokuwa na mpinzani hupita bila kupingwa. Na hii ndio sheria yetu ya uchaguzi hata nje ya Bunge. Jana imebadilishwa.

Wagombea wa CUF walikuwa wanne kwenye nafasi moja wakati kanuni zinasema maximum ni wagombea watatu kwa nafasi moja.

Watatu kati ya hao hawakuwa na fomu za uteuzi zilizosainiwa na Katibu Mkuu wa CUF kama ilivyotakiwa na kanuni. Bali, kwa kauli ya Katibu wa Bunge na Msimamizi wa Uchaguzi, majina yao yalitokea NEC.

NEC inahusikaje na uteuzi wa majina ndani ya vyama, mimi sijaelewa bado.

Kura zilipigwa kwa utaratibu usiokuwepo kwenye kanuni kabisa. Hakuna upigaji wa kura ya ndio au hapana kwenye uchaguzi wa EALA. Lakini wamepigia wagombea wetu au hapana.

Hakuna utaratibu wa wengine wanapigiwa kura ya ndiyo tu lakini wengine wanapigiwa ndio au hapana kwenye karatasi hiyo hiyo moja ya kura. Jana wagombea saba wamepigiwa kura za ndio tu, wawili wamepigiwa ndio au hapana.

Kanuni inasema usipochagua wagombea tisa basi kura yako imeharibika. Jana wamepigia kura wagombea saba tu na hakuna kura yoyote iliyoharibika.

Kanuni inaelekeza kura kuwa ya siri lakini jana usiku hakukuwa na kura yoyote ya siri.

Na mengine mengi.

Yote haya yanatokana na dominance ya MaCCM bungeni. Na juu ya yote haya, ongezea la Msimamizi wa Uchaguzi ambaye anajifanya ni refa wa mchezo huu lakini kiuhalisia ni kocha wa timu ya MaCCM.

Katika mazingira haya, je, watu hawa wataitisha uchaguzi mwingine ili kujaza nafasi mbili za CHADEMA zilizobaki???

Hili ni kwa wale wanaofikiria tukiongeza jina moja au mawili basi shida itakwisha na MaCCM yatatupatia nafasi zetu. Mimi sina jibu lake lakini hisia zangu zinaniambia hii imetoka.

Nitaendelea wakati mwingine.
Kumbe unajua refa cyo wenu unapeleka timu uwanjani kufanya nn,acha kulia lia
 
Hapa Lissu sijui analalamika au anaonyesha kanuni iliyovinjwa. Wabunge wa EALA wanachaguliwa na Bunge la nchi mwanachama. Sasa waliopendekezwa wamekataliwa. Bunge limekataa udikteta wa CDM kuchagua badala ya kupendekeza. Sasa wapeleke wengine kuwaondoa waliokataliwa. Na kama ni zaidi ya wawili lazima awepo mwanamke. Lissu umeipata?
 
Back
Top Bottom